Kwaresma na Pasaka Special Thread

Tunaendelea na kipindi cha kwaresma

Kipindi hiki ni kipindi cha kumlilia MUNGU kwa kufunga na kusali

Tuendelee kujinyima na kuwakumbuka wenzetu wasio nacho
 
Tumsifu YESU KRISTO watumishi wa MUNGU

Tunaendelea na kipindi cha kwaresma na leo tuko siku ya nne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…