ππ€£Shida hawa sikukuu yao ni ya kupangiwa na CCM
Kwahiyo CCM huamua wao iwafaavyo
Yaani wewe gen z ni WA kuniita mimi dogo?! Kwa taarifa yako wakati mimi nazaliwa rais wa Tanzania alikuwa ni J K Nyerere.Wewe dogo ulishinda njaa bure tu saiz unazin kinoma yaan
Kuna maisha nje ya jamii forums!.Rafiki yangu umepotea sana sikuon