Kwaresma na Pasaka Special Thread

Zaburi ya 70
1. Upende kuniokoa ee MUNGU! Ee MWENYEZI MUNGU, uje haraka kunisaidia
2. Wanaonuia kuniangamiza na waaibike na kufedheheka, hao wanaotamani niumie na warudi nyuma na kuabika
3. Hao wanaonisimanga na wapumbazike kwa kushindwa kwao
4. Lakin wote wale wanaokutafuta , wafurahi na kushangilia kwa sababu yako. Wapendao wokovu wakovu wako, waseme daima MUNGU ni mkuu
5.nami niliye masikin na fukara, unijie haraka, ee MUNGU ndiwe msaada wanguna mkomboz wangu, ee MWENYEZI MUNGU, usikawie
 
Wewe dogo ulishinda njaa bure tu saiz unazin kinoma yaan
Yaani wewe gen z ni WA kuniita mimi dogo?! Kwa taarifa yako wakati mimi nazaliwa rais wa Tanzania alikuwa ni J K Nyerere.
Acha kuwaita wazee wako "dogo"!
 
Bwana wetu yetu YESU KRISTO ana msamehe dhambi mwanamke mzinzi mbele ya machawa
 
YESU KRISTO anatufundisha kuwajali masikin na wahitaji wote

Ambao hatuna chochote tuwaombee ambao tunajiweza tunahidumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…