Zaburi ya 70
1. Upende kuniokoa ee MUNGU! Ee MWENYEZI MUNGU, uje haraka kunisaidia
2. Wanaonuia kuniangamiza na waaibike na kufedheheka, hao wanaotamani niumie na warudi nyuma na kuabika
3. Hao wanaonisimanga na wapumbazike kwa kushindwa kwao
4. Lakin wote wale wanaokutafuta , wafurahi na kushangilia kwa sababu yako. Wapendao wokovu wakovu wako, waseme daima MUNGU ni mkuu
5.nami niliye masikin na fukara, unijie haraka, ee MUNGU ndiwe msaada wanguna mkomboz wangu, ee MWENYEZI MUNGU, usikawie