Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Habari na JF,
Kwanini CCM wantaka vituo vya kupigia kura waweke magari hasa sehemu za vijijini, na sehemu za Mjini watumie nyumba za watu binafsi kama vituo vya kupigia kura za maoni ikiwa ni kiashiria hata kura za 2015 itakuwa ivyo ivyo!
Sasa tujadili hili ni kweli wanalengo sahihi ya kuboresha au ndo janja ya kuweka vituo hewa??
Kwanini CCM wantaka vituo vya kupigia kura waweke magari hasa sehemu za vijijini, na sehemu za Mjini watumie nyumba za watu binafsi kama vituo vya kupigia kura za maoni ikiwa ni kiashiria hata kura za 2015 itakuwa ivyo ivyo!
Sasa tujadili hili ni kweli wanalengo sahihi ya kuboresha au ndo janja ya kuweka vituo hewa??