kwanini?

kingazi

Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
35
Reaction score
7
kwanini watani zangu wachaga wakicheza ngoma zao hushikana mikono yote.
 
Ni utamaduni tu kama ilivyo kwa wakata mauno
 
wanaogopa kuibiana bana, si unajua tena hawa watu kwa pesa.
 
We kingazi! Bure kbs! Si ndio utamaduni wenu. Nawe umekosa cha ku2juza.
 
Wanaogopa wasije wakatiana vidole ehhhh vya macho.
 
Ngoma yao huwa hainogi hata hivyo.Labda wajaribu taarabu.
 
Hapa kuna swali kweli?. We chalii vip!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…