Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Mkuu nimeamini Zitto kawashika pabaya,Mpaka wewe MISS CHAGGA umekimbia MMU kuja kutetea Chama chenu.Ubaya mlidanganywa na Zitto kwamba anaacha siasa mkaingia mkenke mkamfukuza.Daa haya bana mimi ntakuja kusoma post zako MMU maanu huwa zinanichekesha sana.

MMU ni nyumbani huku nakuja kuchungulia tu mkuu
 
Mkuu nimeamini Zitto kawashika pabaya,Mpaka wewe MISS CHAGGA umekimbia MMU kuja kutetea Chama chenu.Ubaya mlidanganywa na Zitto kwamba anaacha siasa mkaingia mkenke mkamfukuza.Daa haya bana mimi ntakuja kusoma post zako MMU maanu huwa zinanichekesha sana.

Sio kwamba kawashika vibaya ni kwamba wanyonge masikini Watanzania walimuamini zitto kama mtetezi wao sasa kawasaliti hawajui ni kwanini mtu unakuwa ndumilakuwili yaani nyoka wa makengeza kawasaliti na kuwaibia Watanzania fikra zao za maendeleo.


Swissme
 
Nilitamani nijibiwe hayo madai yangu unless Zitto ni msaliti mkuu wa demokraamsia nchini
Ndugu mleta mada,

Sidhani kama ni mbaya tukijadiliana haya with common sense:

1. Wewe ukiwa katika kampuni flani unafanya kazi baada ya miaka kadhaa kwa sababu moja au nyengine ukaona kabisa hapa sina maisha marefu kazini kutokana na yaliyotokea. At that particular moment ukiwa unasubiria lile swala uliloliona kwa mtazamo wako la kufukuzwa kazi wewe unafanya nini? unasubiri barua ya kufukuzwa kazi ije uichukue uende nyumbani ukaangaliane na mkeo nyumbani? Is that real in life?

Nionavyo: Kama ni mimi na naamini wengi watakuwa hivo wakikutana na situation kama hiyo jambo la msingi ni kuhangaika kutafuta kazi kabla barua unayoitegemea haijakufikia rasmi.Sina haja ya kueleza yote yaliyotokea kwa ZZK koz yanajulikana na kama nilivyosema source ya yote ni pale ZZK alipoamua kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti mengine yaliyofuata ni yatokanayo,so kama mwanasiasa hakuwa na jinsi baada ya kuona kufukuzwa kwake kukija zaidi ya kuangalia option ya kisiasa huku akiwa anasubiria ufukuzwaji rasmi wa wenye chama.

2. Swala la Kiongozi mkuu wa chama kuwa juu ya mwenyekiti: Huo ni mfumo tu ambao Chama na wanachama wamejiamulia,na kama kwao haina shida iweje iwe na shida kwako au kwa kuwa nafasi ya juu amekaa mtu unayemchukia?,koz mfumo wa utawala ni makubaliano,ni kama ndoa,sasa wanandoa wamekubaliana waishi hivi wewe inakuuma does that make sense?

3. Chama cha upinzani kufadhiliwa na CCM: Ingekuwa vizuri ukizungumza jambo kama hilo ungeweka wazi na evidence ya hicho unachokizungumza ili watanzania waweze kujua ukweli sio kutoa tu maneno ya mdomoni yasiyo na mashiko ukitegemea watanzania wakuamini,ni sawa na pale Chadema walipoiita CUF ni CCM-B bila vigezo,kwa wenye akili walipuuza na kuendelea kuamini kuwa CUF ni upinzani halisi usio na uhusiano na CCM,too bad leo CHADEMA hao hao wamekuja ku proof kuwa CUF is a genuine Opposition.Kwahiyo hoja kama hii inahitaji evidence kuwa na mashiko.

4. Hoja ya wanachama wa ACT kuwa wa Chama tawala: Maelezo yake yanafanana na ya 3 hapo juu: Ndugu are you sure you are in the right place? JF ni Valley ya Great Thinkers usiigeuze kijiwe cha kahawa.

5. Kuamua kumuita ZZK msaliti: Hiyo ni haki yako kikatiba hakuna anayekukataza,nimeshakupa mfano hapo juu,Chadema waliamua kuiita CUF ni CCM-B lakini kilichotokea na kuendelea leo itabaki kuwa historia.

Kwa hiyo wewe uliyeamua kumuita ZZK ni Msaliti uko sawa kama walivyo sawa wale ambao mpaka dakika hii wanaomuona kuwa shujaa na mkombozi na mtetezi wa wanyonge katika Taifa hili.

BY: Independent-Mind
 
mkijibu hoja hizo hapo juu nahamia ACT kesho asubuhi na mapema.

Mkuu labda nikwambie kitu kimoja CCM wanachokifanya nikuchochea kuni ili wapinzani tuzidi kuvurugana.CCJ ilipo anzishwa ilishabikiwa na kina nani?.Au mzee Walioba alikuwa anasifiwa na kina nani?.Jambo lamsingi nalo jiuliza ni Mwanachama gani alishawahi fukuzwa na chama chake akasakamwa kama zitto.Mbona CUF hawahangaiki na H.RASHIDI?.
 
Sio kwamba kawashika vibaya ni kwamba wanyonge masikini Watanzania walimuamini zitto kama mtetezi wao sasa kawasaliti hawajui ni kwanini mtu unakuwa ndumilakuwili yaani nyoka wa makengeza kawasaliti na kuwaibia Watanzania fikra zao za maendeleo.


Swissme
Mkuu mimi huwa sipendi kushambulia mtu kama nyie mnavyofanya?.Labda niulize kitu kimoja baada ya Zitto kufukuzwa ilitakiwa afanyeje?.
 
divide and rule is what CCM anafanya sasa.. mkiwa tunapiga kelele badala ya kujiimarisha kumtoa CCM madarakani october inaweza kuwa ngumu tuwe makini,...... ACT ni mtoto wa CCM

Kuna aliyewaambia mumfukuze kwenye sacos yenu??? Ikiwa ACT ni mtototwa CCM basi usisahau kuwa na CHADEMA ni mali ya wachaga na mmojawapo ni wewe MISS CHAGA.
 
divide and rule is what CCM anafanya sasa.. mkiwa tunapiga kelele badala ya kujiimarisha kumtoa CCM madarakani october inaweza kuwa ngumu tuwe makini,...... ACT ni mtoto wa CCM

Haswaa...tatizo wengi wetu bado tunaona kwa macho mawili..wenzetu wako kimkakati zaid. nadhani tutakapogundua ukweli basi inaweza ikawa too late kwani speed waliyonayo ni kubwa mno.
 
- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

Unaishi kwa mazoea, experiance a difference
 
divide and rule is what CCM anafanya sasa.. mkiwa tunapiga kelele badala ya kujiimarisha kumtoa CCM madarakani october inaweza kuwa ngumu tuwe makini,...... ACT ni mtoto wa CCM

Devide and rule kwa mtu mliyemfukuza wenyewe? Huku kama sio kuweweseka ni nini?

Unasema ACT ni mtoto wa CCM, mbona husemi kama na CHADEMA ni chama cha Wachaga amboa ndo nyie akina MISS CHAGA?

Wewe au chakisa nikikuta mnaitetea chadema siwezi kushangaa kwan ni haki yenu.... nastaajabu ninapowakuta akina karubandika wanatoa povu kupigania maslahi yenu.
 
:smile-big::smile-big:URAHISI ndo nn? st. marian girls form za kujiunga znapatkana kwa sh. 10000
 
Back
Top Bottom