Zinachukuliwa kama njugu karibu ndugu usikilize ya wakosaji,Chadema hawana akili kabisa ndomana huwa nasema ccm bado itaendelea kitawala nchi hii saaanaaa,mfano ni huu et cdm wanamuona Zitto ni adui kuliko ccm!Wanatumia muda mwingi kumchafua Zitto kuliko kujiimarisha dhid ya ccm!Kama sio Ukawa mida hii cdm hata kwenye vyombo vya habari tusingeiona.Karibu Act wazalendo.
Kwa niliyoyanona tangu Zitto kuhama chama. kuhojiwa na EATV akakiri kuanzisha ACT na pia wanavyovumisha habari pale wanapovuna wanachama kutoka CDM nina hakika pasi na shaka kuwa Zitto hafai kuwa kiongozi anaweza kuuza nchi kwa maslahi yake binafsi kama mafisi wa CCM wanavyofanya...sasa hivi ACT wanachoshangilia ni kuvuna wanachama from CDM which is killing opposition in our country... Itachukua muda hadi watu wagundue hili hasa pale uchaguzi wa mwaka huu utakapoisha and only by then it will be too late....
sijawahi kuona mtu anaongea pumba kama wewe sijawahi.
Sijawahi kuona watu wanapata taabu hawalali wanatafuta umbea juu ya maisha ya mtu ambayo hayakuhusu hata kidogo sijawahii..
Sijawahi kuona mtu aliyetoka chama kimoja kwenda kingine akaendelea kusakamwa kama zzk bila sababu za msingi kwani hamuathiri mtu na itikadi zake na hawalazishi kumfuata kwa itikadi.
Hata kama zitto ni msaliti kwa chadema haiwahusu wala kuwaathiri kwani hayupo chadema sasa.
Kila siku zitto zitto zitto hamna cha kufanya wangapi wametoka vyama vyao na kujiunga na vyama vingine hawajadiliwi ...
Stop non sense bwana Amekuathirije yeye kuwa msaliti na je anahusikaje na maisha yako baada ya kusaliti chadema
Yaani ni kweli kabisa, watanzania tumebakia midomo wazi kwa udumilakuwili wa huyu jamaa!, Yaani anajiunga kwenye chama siku ya tano anapewa UKUU wa chama!, Watanzania amkeni, kuweni makini na wanasiasa kama hawa ni HATARI.-
- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi.
Wewe ni mjinga sa unamuhuliza hameathilika vipi katika maisha uwezi kujua huyo jamaa ni mpenda Watanzania masikini wanaopenda kuendelea zitto haliaminiwa na wanyonge kama huyo jamaa sasa zitto kamsaliti kwa nini?wewe ni msaliti Wa wanyonge na adhabu yako ni kutembea uchi.Act ccm.
swissme
Zitto ni nyoka!! Hafai!!
Mkuu be specific, nyoka aina gani?? maana kuna wengine wana makengeza wao ni special kwa kuwinda fweza za walipa kodi!!! lolZitto ni nyoka!! Hafai!!
jitahidi kusoma na kuelewa kwanza kabla hujapost utumbo wako hapa.
Mkuu be specific, nyoka aina gani?? maana kuna wengine wana makengeza wao ni special kwa kuwinda fweza za walipa kodi!!! lol
Hadi wewe unaelew hilo basi ni kweli Act ccmdivide and rule is what CCM anafanya sasa.. mkiwa tunapiga kelele badala ya kujiimarisha kumtoa CCM madarakani october inaweza kuwa ngumu tuwe makini,...... ACT ni mtoto wa CCM
Mwenye makengeza.sasa hivi atapiga sana pesa za ccm kabla hawajastuka.
swissme
divide and rule is what CCM anafanya sasa.. mkiwa tunapiga kelele badala ya kujiimarisha kumtoa CCM madarakani october inaweza kuwa ngumu tuwe makini,...... ACT ni mtoto wa CCM
wape kadi wanaofanana na wewezinachukuliwa kama njugu karibu ndugu usikilize ya wakosaji,chadema hawana akili kabisa ndomana huwa nasema ccm bado itaendelea kitawala nchi hii saaanaaa,mfano ni huu et cdm wanamuona zitto ni adui kuliko ccm!wanatumia muda mwingi kumchafua zitto kuliko kujiimarisha dhid ya ccm!kama sio ukawa mida hii cdm hata kwenye vyombo vya habari tusingeiona.karibu act wazalendo.
Mkuu nimeamini Zitto kawashika pabaya,Mpaka wewe MISS CHAGGA umekimbia MMU kuja kutetea Chama chenu.Ubaya mlidanganywa na Zitto kwamba anaacha siasa mkaingia mkenke mkamfukuza.Daa haya bana mimi ntakuja kusoma post zako MMU maanu huwa zinanichekesha sana.