Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,262
angalia views zake za hiyo nyimbo aliyoimba na Taylor swift utadhani ni miujiza.
Binadamu wana chaguzi za ajabu ajabumimi huyo justin bieber sielewi hata wanachompendea, kama leemiho- korean movie star...
nawaonaga kama wasanii wengine ,tena ma under ground....
Mwenye kujua wanachopendewa anifahamishe, maana hata mvuto naonaga hawana pia.
Huyo bieber anapendwa na visichana vilivyo kwenye Teenage au vidada vya chuo!mimi huyo justin bieber sielewi hata wanachompendea, kama leemiho- korean movie star...
nawaonaga kama wasanii wengine ,tena ma under ground....
Mwenye kujua wanachopendewa anifahamishe, maana hata mvuto naonaga hawana pia.
Msikilize vzur zayn malikHana lolote Zayn. OD ilimbeba
kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahaba hayo mimi sinaga[emoji23][emoji23]Huyo bieber anapendwa na visichana vilivyo kwenye Teenage au vidada vya chuo!
Sasa kama haupo kwenye hayo makundi usishangae [emoji1]
kwakweliBinadamu wana chaguzi za ajabu ajabu
sasa lee minho ana nini cha ajabu[emoji23][emoji23] sura imemvimba.Usimfananishe Lee Min-ho na vitu vya kijinga aisee.
duh!!kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahaba hayo mimi sinaga[emoji23][emoji23]
nawapenda akina big sean /kendric lamar jidena drake akina fat joe rossay [emoji23][emoji23][emoji23]youngthug usher
hawa akina biba cwaelewagi kabisa....
WALE WENZAKE WOTE NI WAKAWAIDAHuyu muhindi zayn yupo vizuri tu. Maybe kwa kuwa ni muingereza . Maybe fan base pia wanachangia. Na umaarufu pia.kwenye one direction walikuwa maarufu tofauti na ukiimba as a solo artist.mfano lile kundi la wa irish westlife lilikuwa moto as a group walivyoimba as a solo umaarufu wao ukapotea