Kwanini zana zetu zimekuwa siri?

Kwanini zana zetu zimekuwa siri?

Mkwaja

Member
Joined
Dec 8, 2014
Posts
35
Reaction score
3
Tunaona na kuvitumia vitu vya wazungu kama magari, TV, Simu, silaha na vinginevyo vingi tu. Waswahili nasikia nao wana, ungo wa kusafiria pia wana silaha kama, usinga, tego, mkweche, puju, zongo mwangeni, na kadhalika.

Kwanini waswahili hawaweki wazi silaha hizo na kuzingiza sokoni?. Mm nahitaji ungo wa kusafiria.

Wadau karibuni.
 
Tunaona na kuvitumia vitu vya wazungu kama magari, TV, Simu, silaha na vinginevyo vingi tu. Waswahili nasikia nao wana, ungo wa kusafiria pia wana silaha kama, usinga, tego, mkweche, puju, zongo mwangeni, na kadhalika.

Kwanini waswahili hawaweki wazi silaha hizo na kuzingiza sokoni?. Mm nahitaji ungo wa kusafiria.

Wadau karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom