Kwanini wenzetu wameweza kujenga uchumi wa nchi zao nchi za Afrika zimefeli wapi?

hivi ni kwanini mpaka leo bajeti zetu zinategemea misaada ya nje? kwanini mpaka leo tumeshindwa angalau kucopy kwa wenzetu wao wamefanyeje kujenga uchumi wao?
mbali na kwamba sisi hatuna technolojia kama wao lakini kwanini tumeshindwa japo kuweka mifumo sahihi ya ukusanyaji kodi ili kwamba kila mtu anaepaswa kulipa kodi alipe bila kukwepa na kodi iwe rafiki kwa mlipaji?

Mapendekezo yangu kuhusu ukusanyaji kodi ambayo itasaidia kuboost mambo flani flani mbali na raslimari zingine zilizopo nchini:-
serikali iweke mfumo sahihi wa ukusanyaji kodi kwa wafanya biashara wote kama ilivo kwa watumishi wa umma ambapo imeweza kuwakata moja kwa moja kutoka kwenye salary zao,hapa kwanza kabisa ihakikishe biashara zote zinakua scientifically registered(biashara na wafanya biashara wote wasajiliwe kielekronic) tofauti na sasa ambapo mtu naanzisha biashara hakuna anaejua kama unaduka/kibanda sehem flani.

Hii itarahisisha kuzitambua biashara zote na wafanya biashara sehemu waliko,mkoa,kata,mtaa n.k japo hadi sasa leseni zinatolea kwa njia hiyo lakini mkazo uongezwe kila anaetaka kuanzisha duka/ kibanda sehemu yoyote lazima asajiliwe kielectronic na apewe control number ya kulipia kodi.

Hapa asikubaliwe kufungua chochote bila kusajiliwa katika mfumo wa ulipaji kodi.Hii itawarahisishia TRA kukusanya kwa usahihi kwasababu watu wote watakua computerized hivyo yule ambae hajalipa wataweza kumfahamu aliko na kumuface moja kwa moja.

b) majengo yote na wamiliki wote wawe computerized mtaa kwa mtaa kwa sababu hapa napo ni sehemu nyingine inayoongoza katika ukwepaji kodi, watu wanamiliki nyumba hadi 10 lakni kodi hawalipi,hivyo basi kama nchi nzima nyumba zote zitakua compurized zikawekwa kwenye mfumo kila nyumba itakua inaonekana katika mfumo hakuna atakae kwepa kodi lakini pia lazima kodi iwe rafiki kwa kila manzania.

Nyumba za kulala wageni lazima kodi yake tena kwa mwezi iwe juu kidogo sababu wao wanaingiza kila siku,vivyo hivyo nyumba za biashara na nyumba za kawaida za kuishi lazima zipangiwe kodi stahiki.Hii kama kweli ikifanyika nchi nzima mapato yatapaa kwa namna moja ama nyingine.

Nchi lazima ijengwe na watanzania wenyewe kwanza wengine wataendeleza,na katika haya yote lazima viongozi kidogo wawe wazalendo,pia kodi itakayo kua inakusanywa nchini lazima itumike effectivelly tofauti na kwenda kufanya shughuli za kisiasa zisizo na tija kwa taifa na watanzania.Kitu kingine mimi kwa upande wangu sioni sababu ya kuendelea kulipia lesseni za biashara na lesseni nyingine zozote badala yake watu wawe wanapewa bule kama ilivo kwa TIN number. Hivyo basi ulipaji ubaki tu kwenye kodi TRA badala ya kulipia vyote.kama mambo yote hayo yatasimamiwa kikamilifu ukusanyaji tra lazima kwa mwezi watusomee tr 5.

Kuendelea kuziachia halmashauri zikusanye kodi katika mukitadha huu tunao utumia ni kuendelea kupoteza mapato ambayo kama mfumo mpya wa computerized ungetumika basi kila mmoja angeweza kufikiwa kwa urahisi na yule ambae hajalipa angeweza kuonekana mara moja katika mfumo.

Lakini pia yote hayo inafaa yaende sambamba na katiba mpya kwa sababu kama katiba isipo badiika awamu flani inaweza ikatekeleza nyingne ikaja kuharibu kwa kuanzisha mifumo mipya.Pia katika masirahi mapana ya nchi lazima itikadi za vyama ziwekwe pembeni wabunge wajadili mstakabali wa nchi kuliko kujali vyama vyao.

yangu ni hayo mwenye nyongeza,masahihisho aongezee
Kitendawili cha kodi Tanzania kitatatuliwa pale tutakapopata serikali itakayokuwa na ujasiri wa kufanya maamuzi magumu. Ni magumu ndiyo kwani nchi nzima itatikisika na kutakuwa na upinzani mkubwa sana dhidi ya mpango husika. Mwanzoni wadau wataona ngumu kumeza!

Ili ukusanye kodi kirahisi lazima uwe na mfumo mmoja wa malipo nchi nzima yaani Centralized Payment System. Mfano ni ilivyo mifumo ya malipo ya huduma za kifedha (simu na benki). Ukifanya tu muamala papo hapo kila mtu anahesabu chake, TRA, halmashauri,nk.

Sasa hiyo mifumo itawafanya wafanyabiashara wengi ku-give up ukwasi ambao kimsingi siyo wa kwao (hujilimbizia kodi mbalimbali anazolipa mlaji na kuzifanya sehemu ya mtaji). Ukitaka ku-imagine itakuwaje rejea shughuli ya kuviunganisha vituo vya mafuta ilivyokuwa na upinzani mkali.

Hapo wanasiasa (wasio genuine) watakuja na hoja kama 'mfumo huu hautafanya kazi vijijini ambako hakuna mtandao'.

Ni hivi:

Kila biashara itakuwa na akaunti au trace/control namba yake maalumu kwenye huo mfumo wa malipo. Hapo miamala yote ya biashara hiyo ya kutoka na kuingia lazima ifanywe kwenye hiyo account au trace number hivyo mzunguko halisi wa biashara unaweza kuonekana kwa kugusa tu na kidole. Hata kodi hakuna atakayekaa kukadiria. Mfumo utaamua based on formula iliyopo.

Mfumo huu hauhitaji likompyuta la mezani bali unahitaja tule tumachine twa kushika tu mkononi yaani POS aka Point Of Sales. Rejea namna mawakala wa benki, wakatisha ushuru wa halmashauri, EFD, au maduka makubwa yanavyofanya kazi.

Pia huu mfumo hauwezi kuwa na ufanisi bila kuihusisha sekta binafsi (PPP).

Siku serikali inaleta hili pendekezo utasikia kelele kama zote kutoka kila kona. Ndiyo itajua haijui. Unakumbuka mpango wa 2016 wa kufufua sekta ya textiles kwa miaka mitatu (2016-18). Sehemu ya mpango ilikuwa kufuta mitumba kadri ya vile ambavyo viwanda vya ndani vingeongeza uzalishaji wa nguo mpya. Unakumbuka mziki wake? Serikali ikaufyata kama vile hakuna kilichotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza tunatakiwa kujua historia. Hii historia ambayo waliokuwa wavivu kujisomea shuleni, siku hizi wanajiuliza imewasaidia nini, ndio itakusaidia kujua mambo mengi.
Cha kwanza katika maendeleo ya himaya ni civilization. Ukiona bado hujastaarabika, ni ngumu sana kupata maendeleo na kujenga uchumi. Sisi bado hatujafika kwenye civilization. Sisi bado tupo kwenye class struggle.
Pili: Modernization. Baada ya civilization kinachokuja ni modernization. Modernization maanake ni kila kitu kuendeshwa katika mfumo wa kisasa. Mfano ufugaji, kilimo, biashara, utawala, jeshi, magereza, polisi, malezi, elimu, afya nk.
Tatu; Baada ya modernization, kinachokuja ni uzalishaji wa ziada. Kwa sababu njia za kisasa hutumika katika shughuli za kila siku, afya Safi ipo, elimu safi ipo, utawala wa kisasa upo, jeshi la kisasa lipo, magereza ya kisasa yapo, basi uzalishaji unakuwa mwingi wa kutosha na kusaza. Sisi bado kwa 85% tunazalisha kwa ajili ya kujikimu. Angalia wafanyakazi, wakulima na wafugaji. Hata wafanyabiashara wengi; bado tunafanya kwa ajili ya kujikimu.
Nne: Biashara; baada ya kuzalisha ya ziada katika nyanja zote, kinachokuja sasa ni biashara ili kuweza kubadilishana vule ambavyo tumevizalisha katika maeneo yetu kwa ziada. Mfugaji atahitaji daktari ya mifugo, Mkulima atauza mazao, ataanzisha hospitali na kuhitaji daktari na madawa. Madawa yatauzwana kodi kulipwa na serikali kupata Fedha za kujenga barabara.
Tano; Viwanda. Baada ya kuzalisha kwa ziada tutahitaji Viwanda kwa ajili ya kusindika na kuongeza shelf life ya vitu vinavyozalishwa kwenye kilimo na mifugo.
Sio kujenga Viwanda wakati hakuna malighafi. Viwanda vya madawa, magari kutokana na civilization na uzalishaji wa ziada vitahitajika.
Sita; Market Development. Yaani maendeleo ya masoko. Maendeleo ya masoko ni hivi vitu vyote vinajiintegrate na kutengeza muendelezo kwa njia ya masoko katika mfumo wa demand and supply. Kupanda na kushuka.
Saba; Investment. Baada ya maendeleo ya masoko, kinachokuja sasa ni uwekezaji. Yaani ni zaidi ya biashara. Baada ya kuonekana Kuna masoko ya nguvu, basi watu humwaga mitaji wanayopata kwenye biashara na kuweka kwenye uwekezaji. Hapa mitaji mikubwa hutumika kuweka vitu vya maana kama vile mashine za uchimbaji madini, uchimbaji wa gesi na uyeyushaji wa chuma.
Nane! Uporaji wa rasilimali za nchi nyingine au exploitation. Hii hufanyika either kwa nguvu au wizi wa chinichini au kwa kupeleka mitaji na kuwekeza na kurudisha faida nchini.
Nchi za Ulaya na America Kaskazini hazinaruka hata moja katika hatua hizi.
Sisi hatukamilisha hata moja. Tunarukaruka tu au tunarushwarushwa tu.

Jibu murua kabisa mkuu! Afrika hatuna bado viongozi safi wenye ari. Alikuwepo mmoja tu naye ni Qaddafi lakini kwa tabia zetu za u-cain tulimmaliza. Sasa hapa pengine mpaka mwisho wa dahari au tupate magufuli kama 200 hivi ndiyo tufidie miaka 60 tuliyopoteza takriban baada ya uhuru. Ili tuendelee tunahitaji viongozi ambao wanatakuwa na fikira za kuwa maisha yao bora ni baada ya mtanzania au mwafrika wa mwisho kuwa na maisha bora ndiyo wapate haya maisha wanayoishi sasa na hata tangu baada ya uhuru kama miungu watu. Waje kwenye jamii wavae kikazi wajumuike na wananchi tuchimbe mitaro, tujenge barabara, vyoo bora, nyumba bora, zahanati bora, kilimo cha kisasa, shule bora, mazingira bora, tupande miti, ukoka, paving katika makazi, maji taka yapelekwe sawasawa, sehemu za biashara ziwekwe bora, maeneo ya michezo, bustani za kupumzikia na list ni ndefu! Inawezekana hapa tuna viongozi vibuyu, wabinafsi, uzalendo wa kutamka na walaghai. Nachukia sana wakati mwingine kuwa mtanzania na mwafrika kwa ujumla.
 
hivi ni kwanini mpaka leo bajeti zetu zinategemea misaada ya nje? kwanini mpaka leo tumeshindwa angalau kucopy kwa wenzetu wao wamefanyeje kujenga uchumi wao?
mbali na kwamba sisi hatuna technolojia kama wao lakini kwanini tumeshindwa japo kuweka mifumo sahihi ya ukusanyaji kodi ili kwamba kila mtu anaepaswa kulipa kodi alipe bila kukwepa na kodi iwe rafiki kwa mlipaji?

Mapendekezo yangu kuhusu ukusanyaji kodi ambayo itasaidia kuboost mambo flani flani mbali na raslimari zingine zilizopo nchini:-
serikali iweke mfumo sahihi wa ukusanyaji kodi kwa wafanya biashara wote kama ilivo kwa watumishi wa umma ambapo imeweza kuwakata moja kwa moja kutoka kwenye salary zao,hapa kwanza kabisa ihakikishe biashara zote zinakua scientifically registered(biashara na wafanya biashara wote wasajiliwe kielekronic) tofauti na sasa ambapo mtu naanzisha biashara hakuna anaejua kama unaduka/kibanda sehem flani.

Hii itarahisisha kuzitambua biashara zote na wafanya biashara sehemu waliko,mkoa,kata,mtaa n.k japo hadi sasa leseni zinatolea kwa njia hiyo lakini mkazo uongezwe kila anaetaka kuanzisha duka/ kibanda sehemu yoyote lazima asajiliwe kielectronic na apewe control number ya kulipia kodi.

Hapa asikubaliwe kufungua chochote bila kusajiliwa katika mfumo wa ulipaji kodi.Hii itawarahisishia TRA kukusanya kwa usahihi kwasababu watu wote watakua computerized hivyo yule ambae hajalipa wataweza kumfahamu aliko na kumuface moja kwa moja.

b) majengo yote na wamiliki wote wawe computerized mtaa kwa mtaa kwa sababu hapa napo ni sehemu nyingine inayoongoza katika ukwepaji kodi, watu wanamiliki nyumba hadi 10 lakni kodi hawalipi,hivyo basi kama nchi nzima nyumba zote zitakua compurized zikawekwa kwenye mfumo kila nyumba itakua inaonekana katika mfumo hakuna atakae kwepa kodi lakini pia lazima kodi iwe rafiki kwa kila manzania.

Nyumba za kulala wageni lazima kodi yake tena kwa mwezi iwe juu kidogo sababu wao wanaingiza kila siku,vivyo hivyo nyumba za biashara na nyumba za kawaida za kuishi lazima zipangiwe kodi stahiki.Hii kama kweli ikifanyika nchi nzima mapato yatapaa kwa namna moja ama nyingine.

Nchi lazima ijengwe na watanzania wenyewe kwanza wengine wataendeleza,na katika haya yote lazima viongozi kidogo wawe wazalendo,pia kodi itakayo kua inakusanywa nchini lazima itumike effectivelly tofauti na kwenda kufanya shughuli za kisiasa zisizo na tija kwa taifa na watanzania.Kitu kingine mimi kwa upande wangu sioni sababu ya kuendelea kulipia lesseni za biashara na lesseni nyingine zozote badala yake watu wawe wanapewa bule kama ilivo kwa TIN number. Hivyo basi ulipaji ubaki tu kwenye kodi TRA badala ya kulipia vyote.kama mambo yote hayo yatasimamiwa kikamilifu ukusanyaji tra lazima kwa mwezi watusomee tr 5.

Kuendelea kuziachia halmashauri zikusanye kodi katika mukitadha huu tunao utumia ni kuendelea kupoteza mapato ambayo kama mfumo mpya wa computerized ungetumika basi kila mmoja angeweza kufikiwa kwa urahisi na yule ambae hajalipa angeweza kuonekana mara moja katika mfumo.

Lakini pia yote hayo inafaa yaende sambamba na katiba mpya kwa sababu kama katiba isipo badiika awamu flani inaweza ikatekeleza nyingne ikaja kuharibu kwa kuanzisha mifumo mipya.Pia katika masirahi mapana ya nchi lazima itikadi za vyama ziwekwe pembeni wabunge wajadili mstakabali wa nchi kuliko kujali vyama vyao.

yangu ni hayo mwenye nyongeza,masahihisho aongezee
Kwa ufupi, Rushwa, Ubadhirifu, Ukabila na Utegemezi ndiyo adui mkubwa wa maendeleo afrika.
 
Kama kila mtanzania akilipa direct tax ya 1800 kila mwezi kwa idadi ya watu milioni 57 basi serikali itakuwa na uhakika wa kuingiza bilioni 102.6 kila mwezi au trilioni 1.231 kwa mwaka. Je, hili linawezekana vipi?
Kwa kupitia current system ya vitambulisho vya nida serikali itatambua status ya wananchi wake kama wqmaeajiriwa, wamejiajiri au hawana ajira. Endapo wameajiriwa basi itakuwa rahisi kulipa kodi kwa vile itakatwa moja kwa moja kwenye mishahara, kama wamejiajiri basi taarifa, zao za benki zitakuwa linked na nida, mobile banking information na kulipa kodi kutokana na mapato yake kupitia GePG system. Kwa hiyo let's say ana biashara na analipwa kupitia mobile transactions basi serikali inakata kodi yake moja kwa moja kama VAT(anayolipa mteja) na direct tax ya mwenye biashara husika. Kama mwananchi hana ajira serikali kupita platform itatakiwa kumwezesha huyo mwananchi kupata ajira au kupata vibarua na tenda mbalimbali ili aweze kupata kipato na serikali ipate kodi yake kupitia kipato hicho. Kwa kupitia mfumo huu serikali itakuwa kama facilitator na wananchi tutaweza kuijenga nchi yetu wenyewe bila kutegemea misaada ya nje.
Na pia mfumo huu utasaidia katika kupambana na uhalifu kwa vile database itatumika pia na vyombo vya usalama. Na pia katika janga kama hili la Covid-19 itakuwa rahisi kujua nani anastahili kulipwa pesa ya kujikimu na nani hastahili.
 
Waafrika wanafikiri,wanaamua kwa HISIA kuliko UHALISIA wa Jambo husika

Hiyo ndio sababu kubwa kwa nchi za Afrika kutoendelea katika kila sekta,.

Pale viongozi wetu watakapo Anza kutoka maamuzi yao kwa Uhalisia wa sio kwa hisi,nchi za Afrika chini ya jangwa la Sahara zitabadilika
 
Hoja ya kutawaliwa napinga coz walio tawaliwa sana ndio wenye angalau leo
 
Kama kila mtanzania akilipa direct tax ya 1800 kila mwezi kwa idadi ya watu milioni 57 basi serikali itakuwa na uhakika wa kuingiza bilioni 102.6 kila mwezi au trilioni 1.231 kwa mwaka. Je, hili linawezekana vipi?
Kwa kupitia current system ya vitambulisho vya nida serikali itatambua status ya wananchi wake kama wqmaeajiriwa, wamejiajiri au hawana ajira. Endapo wameajiriwa basi itakuwa rahisi kulipa kodi kwa vile itakatwa moja kwa moja kwenye mishahara, kama wamejiajiri basi taarifa, zao za benki zitakuwa linked na nida, mobile banking information na kulipa kodi kutokana na mapato yake kupitia GePG system. Kwa hiyo let's say ana biashara na analipwa kupitia mobile transactions basi serikali inakata kodi yake moja kwa moja kama VAT(anayolipa mteja) na direct tax ya mwenye biashara husika. Kama mwananchi hana ajira serikali kupita platform itatakiwa kumwezesha huyo mwananchi kupata ajira au kupata vibarua na tenda mbalimbali ili aweze kupata kipato na serikali ipate kodi yake kupitia kipato hicho. Kwa kupitia mfumo huu serikali itakuwa kama facilitator na wananchi tutaweza kuijenga nchi yetu wenyewe bila kutegemea misaada ya nje.
Na pia mfumo huu utasaidia katika kupambana na uhalifu kwa vile database itatumika pia na vyombo vya usalama. Na pia katika janga kama hili la Covid-19 itakuwa rahisi kujua nani anastahili kulipwa pesa ya kujikimu na nani hastahili.
Hiyo population ya walipakodi umeitoa waoi? Unadhani kila Mkazi anayehesabiwa hata Kama ni mtoto basi anaweza kulipa kodi? Wazee, walemavu na watoto umewaweka wapi? Wanafunzi je?
 
Kama kila mtanzania akilipa direct tax ya 1800 kila mwezi kwa idadi ya watu milioni 57 basi serikali itakuwa na uhakika wa kuingiza bilioni 102.6 kila mwezi au trilioni 1.231 kwa mwaka. Je, hili linawezekana vipi?
Kwa kupitia current system ya vitambulisho vya nida serikali itatambua status ya wananchi wake kama wqmaeajiriwa, wamejiajiri au hawana ajira. Endapo wameajiriwa basi itakuwa rahisi kulipa kodi kwa vile itakatwa moja kwa moja kwenye mishahara, kama wamejiajiri basi taarifa, zao za benki zitakuwa linked na nida, mobile banking information na kulipa kodi kutokana na mapato yake kupitia GePG system. Kwa hiyo let's say ana biashara na analipwa kupitia mobile transactions basi serikali inakata kodi yake moja kwa moja kama VAT(anayolipa mteja) na direct tax ya mwenye biashara husika. Kama mwananchi hana ajira serikali kupita platform itatakiwa kumwezesha huyo mwananchi kupata ajira au kupata vibarua na tenda mbalimbali ili aweze kupata kipato na serikali ipate kodi yake kupitia kipato hicho. Kwa kupitia mfumo huu serikali itakuwa kama facilitator na wananchi tutaweza kuijenga nchi yetu wenyewe bila kutegemea misaada ya nje.
Na pia mfumo huu utasaidia katika kupambana na uhalifu kwa vile database itatumika pia na vyombo vya usalama. Na pia katika janga kama hili la Covid-19 itakuwa rahisi kujua nani anastahili kulipwa pesa ya kujikimu na nani hastahili.
safi sana
 
Hiyo population ya walipakodi umeitoa waoi? Unadhani kila Mkazi anayehesabiwa hata Kama ni mtoto basi anaweza kulipa kodi? Wazee, walemavu na watoto umewaweka wapi? Wanafunzi je?
mi nilisema kwa kila mtanzania anaestahili kulipa kodi na sio kila mtanzania
 
Hiyo population ya walipakodi umeitoa waoi? Unadhani kila Mkazi anayehesabiwa hata Kama ni mtoto basi anaweza kulipa kodi? Wazee, walemavu na watoto umewaweka wapi? Wanafunzi je?
Hiyo ni estimate tu, sio real fact.
Hapo nineainisha endapo kama mtu analipwa elfu kumi kwa mwezi hivyo kodi iwe 18% ya hiyo ten
 
Back
Top Bottom