ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,825
- 27,271
Kaangalie ratiba ya msimu ulio pita mechi tatu za mwanzo za timu yako pendwa na mechi tatu za mwanzo za YangaNyinyi ndio mnafaidika kupita timu zote kwa ratiba kwa misimu 3 sasa.Ndio maana mmecheza gemu 3 mfululizo nyumbani Hakuna ratiba ya namna hiyo duniani.Unabisha ilete.