Kwanini weekend hii mechi za Ligi Kuu hazifanyiki, shida nini?

Bukondamoyo

JF-Expert Member
May 11, 2017
458
487
Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.

TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.

Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.

N A W A S I L I S H A.
 
Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.

TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.

Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.

N A W A S I L I S H A.
Moja ya vitu vinavyokera ktk ligi hii ni ratiba mbovu
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Wale wajinga TFF wana akili ndogo sana. Hata kuelekea international break hawakuweka michezo yoyote ile weekend ya mwisho. Kiufundi timu za ndani unaathiri fitness ya vilabu hasa hasa ambavyo vinashindana kimataifa. Kukaa muda mrefu bila kucheza sio faida.

Ligi kuu ya Afrika Kusini ilianza muda mmoja na sisi ila tayari wamecheza mechi 7. Timu kama Mamelodi Sundowns tayari wamecheza mechi 11. Pia hao hao Mamelodi baada ya ile mechi yao ya kimataifa wiki iliyopita watacheza mechi 3 kabla ya marudiano wiki ijayo.
 
Dawa yake ni Simba na Yanga kutolewa kimataifa...

Wakitolewa hutoona huu ujinga tena
Wale wajinga TFF wana akili ndogo sana. Hata kuelekea international break hawakuweka michezo yoyote ile weekend ya mwisho. Kiufundi timu za ndani unaathiri fitness ya vilabu hasa hasa ambavyo vinashindana kimataifa. Kukaa muda mrefu bila kucheza sio faida.

Ligi kuu ya Afrika Kusini ilianza muda mmoja na sisi ila tayari wamecheza mechi 7. Timu kama Mamelodi Sundowns tayari wamecheza mechi 11. Pia hao hao Mamelodi baada ya ile mechi yao ya kimataifa wiki iliyopita watacheza mechi 3 kabla ya marudiano wiki ijayo.
 
Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.

TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.

Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.

N A W A S I L I S H A.
Ratiba mbovu inashangaza, baadae timu zitaanza kupangwa kucheza kila baada ya siku mbili, wakati tunachezea muda. Hao Yanga wamecheza Jumatano wangeweza kucheza mechi nyingine Jumapili au Jumatatu, halikadhalika kwa Simba maana ndio walikuwa na viporo.
 
Hamna wapanga ratiba waadilifu.Ratiba zinapangwa kwa upendeleo na nani katoa bahasha nzito zaidi.
Timu zinacheza mechi 3 mfululizo nyumbani na zingine kwa mfano Kagera Sugar wanatolewa Kagera wakacheze Kigoma na Mashujaa na baada ya siku mbili wakacheze na Ihefu Mbarali!
Uonevu mkubwa unafanyika kwenye kupanga ratiba.Zipo timu pendwa ambazo zinalindwa na ratiba.
 
Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu zinazowakilisha kimataifa kwa maana ya Young Africans, Simba na Singida FG, lakini badala yake mechi zinasogezwa mpaka Oktoba.

TFF inatakiwa waelewe Simba ana match nyingi za kimataifa ili kuepuka viporo visivyo vya lazima ilitakiwa weekend hii match ziendelee.

Pia kwa sisi wazee wa mbungi kukaa muda mrefu bila kuangalia ligi yetu bora namba 5 inaboa sana.

N A W A S I L I S H A.
Hata mimi nimeshangaa sana,Simba na Yanga zote kwenye ratiba inaonyesha mechi zao zinazofuata wanaenda Mbeya kucheza na Prison,na yanga nae kucheza na Ihefu,ilitakiwa juzi Yanga baada ya mechi yake Ijumaa asafiri aende mbeya kucheza,na simba nae baada ya mechi yake ya jana Alhamisi leo Ijumaa asafiri kesho jumamosi apumzike ili jumapili ama jumatatu inampasa acheze,Jumanne anarudi zake Dar ili kujiandaa na mchezo wake dhidi ya Power Dynamo..........Hapa Tff na bodi ya ligi zimechemka sana
 
Wale wajinga TFF wana akili ndogo sana. Hata kuelekea international break hawakuweka michezo yoyote ile weekend ya mwisho. Kiufundi timu za ndani unaathiri fitness ya vilabu hasa hasa ambavyo vinashindana kimataifa. Kukaa muda mrefu bila kucheza sio faida.

Ligi kuu ya Afrika Kusini ilianza muda mmoja na sisi ila tayari wamecheza mechi 7. Timu kama Mamelodi Sundowns tayari wamecheza mechi 11. Pia hao hao Mamelodi baada ya ile mechi yao ya kimataifa wiki iliyopita watacheza mechi 3 kabla ya marudiano wiki ijayo.
Ligi ya South Africa ina timu ngapi
 
Back
Top Bottom