GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,559
- 108,897
Mzungu akiwa na Mgonjwa wake Hospitalini atahangaika hata kwa 'Gharama' zake zote tu ili 'ayaokoe' Maisha yake 'asife' lakini kwa Mwafrika ( Mswahili ) Yeye akiwa na Mgonjwa Hospitalini wala 'hajali' kivile na pengine hata kutoa 'Huduma' au 'Msaada' anakuwa mgumu ila pale Mgonjwa 'akifa' tu ndipo utaona 'anavyojitutumua' kwa Kuchangia 'Mazishi' huku akitoa 'ahadi' za kila namna Mazishini.
Je, Ubongo wa Mzungu na Mwafrika ( Mswahili ) ni sawa au si sawa? Kuna Jambo 'nimelishuhudia' leo na Kuthibitisha kuwa Waafrika tuna Majanga.
Je, Ubongo wa Mzungu na Mwafrika ( Mswahili ) ni sawa au si sawa? Kuna Jambo 'nimelishuhudia' leo na Kuthibitisha kuwa Waafrika tuna Majanga.