Chamkoroma
Senior Member
- Sep 6, 2010
- 186
- 11
Jamani wana mtandao nisaideni kwanini nchi yetu isibadilike kielimu kurundisha kiingereza toka darasa la kwanza mpaka chuo kikuu?
Mimi ni moto wa mkulima nilibahatika kupata kazi nchi za nje kweli nimekuta wa kenya wanafanya kazi kila sector hapa nilipo lkn wa TZ ni wachache sn na waliopo aidher wa toto wa Ngasongwa{mfano} na wengineo , nilipata bahati ya kukutana na kiongozi mmoja mkubwa nikamuuliza sababu ya kuacha kiingereza akasema tutaharibu utamaduni wetu, jamani hiyo hoja ya utamaduni ni sahihi? nawaambia ole wao mwana wa mkulima ashike nchi nawaambia tutafaidi wengi, baadhi ya wa unge walianza kulalamika kuwa wa kenya wamezidi sn kwnye hoteli zetu za mbugani je wao kama wa bunge kwa nini wasiamue kuanzaia sasa mitaala yote ya kibongo toa tuingie kwenye ushindani wakielimu?
Mimi ni moto wa mkulima nilibahatika kupata kazi nchi za nje kweli nimekuta wa kenya wanafanya kazi kila sector hapa nilipo lkn wa TZ ni wachache sn na waliopo aidher wa toto wa Ngasongwa{mfano} na wengineo , nilipata bahati ya kukutana na kiongozi mmoja mkubwa nikamuuliza sababu ya kuacha kiingereza akasema tutaharibu utamaduni wetu, jamani hiyo hoja ya utamaduni ni sahihi? nawaambia ole wao mwana wa mkulima ashike nchi nawaambia tutafaidi wengi, baadhi ya wa unge walianza kulalamika kuwa wa kenya wamezidi sn kwnye hoteli zetu za mbugani je wao kama wa bunge kwa nini wasiamue kuanzaia sasa mitaala yote ya kibongo toa tuingie kwenye ushindani wakielimu?