Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Nimekaa nikijiuliza suala hili kila likichomoza jua, nalizungumza hili kwa upande wa disco, bar, mahotelini kwa wale waishio Zanzibar.
Nimejaribu kufanya utafiti sehemu hizo nilizozitaja kwamba ukienda %100 kubwa ni wanawake wa kibongo na si wazanzibar kwanini?
Mara utamkuta demu anaongea kizanzibar, muulize kabila sasa, mmakonde, mnyamwezi, mchaga, wamejaa intebe na paris na sehemu zingine ambazo sizijui.
Tukija kwa upande wa wanaume ni mchanganyiko, nalileta kwenu hili wakuu mwenye hoja, malalamiko, kunikosoa nawakaribisha uwe na hoja ya kunipinga ikiwa umepita sehemu hizo nilizozitaja. MATUSI SI PAHALA PAKE.
Nimejaribu kufanya utafiti sehemu hizo nilizozitaja kwamba ukienda %100 kubwa ni wanawake wa kibongo na si wazanzibar kwanini?
Mara utamkuta demu anaongea kizanzibar, muulize kabila sasa, mmakonde, mnyamwezi, mchaga, wamejaa intebe na paris na sehemu zingine ambazo sizijui.
Tukija kwa upande wa wanaume ni mchanganyiko, nalileta kwenu hili wakuu mwenye hoja, malalamiko, kunikosoa nawakaribisha uwe na hoja ya kunipinga ikiwa umepita sehemu hizo nilizozitaja. MATUSI SI PAHALA PAKE.