donaty anthony
Member
- Nov 9, 2013
- 31
- 3
Mimi huwa najiuliza sipati jibu, mtu akipigiwa simu iwe ni wapenzi au jinsia tofauti huwa anabadili sauti kuliko ile asilia.
Tatizo nini ushamba au makeke?
Tatizo nini ushamba au makeke?
Wewe ndio unashidwa kutofautisha
Kwa hali ya kawaida sauti ikisafiri kwenye simu lazima ibadilike tu!