Kwanini watu wengi hawaoani na their dream partners?

Kwanini watu wengi hawaoani na their dream partners?

Wife wangu wa kwanza nilimmaindi kwa sana full malovee,do ssi ndo sir god nae akammaindi,basi hamna noma,nikachukua mwingine mtoto full tabasamu kama ray c kumbe lilifuata vicent ingawa kazi zetu zafanana, tukashindwana ingawa nilipiga goti kwao(waislamu wanajua)
nikakamatia mwingine nipo nae,nae ni singo maza.full kuwasiliana na baba mtoto wake kwa siri,kwa kuwa mimi born town mishe zote najua,na zawadi ya mtoto nimepewa mwaka huu ni elo way wa msingi,life linasonga .
Kwa kifupi rahma wangu alivyodead ndo aliondoka na upendo wangu,wengine tunaishi nao tu.
 
Kitaalamu Unashauriwa Usioane na Mtu Mnayependana sana.
You have a point man, hii hata baadhi ya watu wazima walisha niambia lakini still kwanin? Is it dangerous kuwa na mtu mnaependana sana?
 
kuna mtu tuli fall in love ila dini ikawa kikwazo,, tume-separate,,

kila baada ya siku mbili ananipigia simu kwamba ameni miss,, nami namjibu miss u too,

namuuliza sasa uko mbioni kuolewa na mtu wa dini yako je nikihitaji papuchi utanipa?

amejibu hata sasa sema tu nkakupe unibabue, si wamenitenganisha wenyewe,

[emoji16] [emoji23]
 
Duh Mimi DINI ndiyo tatizo yeye MUISLAM Mimi ni CATHOLIC wazazi wake, ndugu wamekata asibadili ila nampenda Sana na yeye ananipenda ila sina namna itabidi kila mtu achukue time yake.

Ningekuwa na uwezo ningemuoa hata sasa hivi Ila DINI.
Na Mimi sipo tayari atengwe na ukoo/Familia yake kisa ndoa although bado hutujavunja mahusiano but sioni future yetu .

Huwa naumia Sana nikifikiria kuhusu huyu mwanamke.
Siku nikamua ku_move on Mwenyezi Mungu awe nami .
 
Duh Mimi DINI ndiyo tatizo yeye MUISLAM Mimi ni CATHOLIC wazazi wake, ndugu wamekata asibadili ila nampenda Sana na yeye ananipenda ila sina namna itabidi kila mtu achukue time yake.

Ningekuwa na uwezo ningemuoa hata sasa hivi Ila DINI.
Na Mimi sipo tayari atengwe na ukoo/Familia yake kisa ndoa although bado hutujavunja mahusiano but sioni future yetu .

Huwa naumia Sana nikifikiria kuhusu huyu mwanamke.
Siku nikamua ku_move on Mwenyezi Mungu awe nami .
Duh... Dini hizi....!

Anyway Mungu awafungulie njia
 
Back
Top Bottom