Kwanini watu wengi hawaoani na their dream partners?

Kwanini watu wengi hawaoani na their dream partners?

Watu hawajui kupenda na amani ni wachache sana wanaojua nn maana ya kupenda

Mwanamme ndo hupenda
Mwanamke hutamani . basi matamanio ya mwanamke huwa wanaita kupenda ambapo si hivo . kwa kawaida kabisa mwanamke anapaswa aolewe na mwanaume ambaye akikasirika anaityuni akili yake kusema ndiyo kila jambo.

Mwanamme huanza kutamani akiendelea ndo kinakuja kitu kupenda

Kwanza atapenda kumpendezesha kwa kadrii alivofanikiwa.
Atamtafakarisha kutafuta zaidi na zaidi
Hatafurahi kumuona anahuzuni atamhurumia
Mwanaume atajihisi mtu wa majukumu kila anapokuwa naye na asipokuwa naye
Atapenda ajue yuko mahali salama kila wakati anaweza piga cm na nikutaka kujua tu yuko wapi hapa ndo wanawake wengine hutafsiri ni wivu kumbe ni upendo
Hutamani kuwasaidia ndugu zake wote bila kujali

Teh
 
Mh hata sielewi upande wake kwakweli..ila binafsi YES..yeye ndiye MWANAUME wa kufa nae..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuna ile kitu tunaolewa au kuoa kwa sababu tu Dada/kaka fulani ana kazi fulani au ana mapesa.. basi ili nishow off kwa shoga zangu...
au naoa tu kwa sababu mwanammke mjasiliamali au mchapakazi kwahiyo tutasaidiana maisha... lakini kimwili hakidhi vigezo kabisa.
Naoa kwa sababu yule dada anaenda sana kanisani kajawa Roho mtakatifu

Naoa kwasababu umri umeenda
Naolewa kwa sababu umri ushaenda basi yoyote yule naolewa nae.
Naolewa ilimradi mme wangu
anafanya kazi ya maana serikalini hana vyeti bandia basi nna uhakika wa kula maishani..


Wengi tunaolewa na kuoa watu ambao hata 50% hawakidhi vigezo vyetu.. ila kwa jina la maisha,future basi acha tuoane..

Hatuoani ila tunakua tu business partners[emoji23][emoji23][emoji23] tuonazaa na watoto.

mm binafsi ntaolewa na mtu nnaye mpenda ,ntakayekuwa proud nae

Sio tunakutana na rafiki,ndugu na jamaa naanza "ooh huyu ni jirani yetu pale mtaani kwahiyo nmeongozana nae tu anatafuta mashuka"

namweka whatsapp uso nauweka bomba muemoj what the Hell f[emoji23][emoji23]
Kweli kabisa
 
I didn't marry her,But I wish her all the best.
 
Coz mapenzi is never 50/50 ....unaempenda anampenda mwingine asiependwa nae...ili mradi vuruuguu bin keroo
 
Back
Top Bottom