Kwanini watu wengi hawaoani na their dream partners?

okoyoko

JF-Expert Member
Jun 15, 2014
2,664
3,631
Hello

Is this a curse? coz nimejaribu ku-observe ndoa nyingi nimegundua kuwa wanandoa wengi wameoa na kuolewa na watu ambao wasiowapenda kabisa, sasa sijui wana-manage vipi kuishi kwenye ndoa hizo au wanavumiliana tu?..coz i cant imagine waking up everyday next to a woman ambae simpendi, especially kwa wamama walioolewa utaskia huyu mwanaume nlikuwa simpendi, baada ya kunifuatilia sana ndo nkaolewa nae, nliekuwa nampenda alikuwa na mambo mengi. Kwa wanaume utaskia mm nlikuwa sina options umri unaenda ikabidi nioe/au demu alikuwa wa part time lakini alintegeshea mimba etc..

When i say kupenda or DREAM PARTNER simaanishi yule unaemtamani kingono, i mean yule ambae ukimuona roho inashtuka, na unajisemea i wanna spend the rest of my life with this man/woman, huko ndo kupenda ninakokumaanisha, kwa kingereza kiingine wanaita "YOUR CRUSH"

Wengine wanaoa/kuolewa na watu ambao sio kwamba hawakuwapenda tu, bali hata hawakuvutiwa nao kingono in the first place, its a very sad life.

Kwa wana-jf mlioko kwenye ndoa, je mmeoa/kuolewa na dream partners wenu? jibu kama ni ndio, are u sure dream partner wako anakupenda the same way you love him/her?
 
Tuna ile kitu tunaolewa au kuoa kwa sababu tu Dada/kaka fulani ana kazi fulani au ana mapesa.. basi ili nishow off kwa shoga zangu...
au naoa tu kwa sababu mwanammke mjasiliamali au mchapakazi kwahiyo tutasaidiana maisha... lakini kimwili hakidhi vigezo kabisa.
Naoa kwa sababu yule dada anaenda sana kanisani kajawa Roho mtakatifu

Naoa kwasababu umri umeenda
Naolewa kwa sababu umri ushaenda basi yoyote yule naolewa nae.
Naolewa ilimradi mme wangu
anafanya kazi ya maana serikalini hana vyeti bandia basi nna uhakika wa kula maishani..


Wengi tunaolewa na kuoa watu ambao hata 50% hawakidhi vigezo vyetu.. ila kwa jina la maisha,future basi acha tuoane..

Hatuoani ila tunakua tu business partners tuonazaa na watoto.

mm binafsi ntaolewa na mtu nnaye mpenda ,ntakayekuwa proud nae

Sio tunakutana na rafiki,ndugu na jamaa naanza "ooh huyu ni jirani yetu pale mtaani kwahiyo nmeongozana nae tu anatafuta mashuka"

namweka whatsapp uso nauweka bomba muemoj what the Hell f
 
Sababu kuu nadhani ni hali ya maisha inapelekea watu kuoana na wasiowapenda. Shida ni kuwa mtu unayempenda kweli na kutaka kuwa nae yeye anakuwa hakutaki maana anaona huendani nae ama kuna vigezo vyake flani huna hasa kikubwa ni pesa na muonekano ingawa kihalisia anajua unaweza kuwa mpenzi mzuri sana kwake ila kuishi maisha ya kawaida ndio hataki.

Wanawake ndio wahanga wa hili sana maana kikubwa wanachotaka ni mwanaume mwenye pesa atakaeweza lipa bills zote pamoja na kumgharamia shopping na accessories nyingine ili aweze kutamba hapa mjini regardless ana kazi au hana ila mashoga zake wamjue yeye ni top of the class.

"If you cant get what you want...take whats available"

Kingine hao wanaume wenye hizo sifa wengi sio age mates, sio presentable na kama wakiwa age mates + presentable basi ni vicheche balaa. So mtu anaamua kuolewa na babu tu mtu mzima ili ale maisha ya kifahari ingawa hampendi, au mwanaume mwenye sura ngumu ila ana pesa. Au wanaume wazuri vicheche ila atavumilia tu kwa sababu kuna slope ya pesa.
 
Kwa wanaume utaskia mm nlikuwa sina options umri unaenda ikabidi nioe/au demu alikuwa wa part time lakini alintegeshea mimba etc..
hahahahahahaha
 
Hello

Is this a curse? coz nimejaribu ku-observe ndoa nyingi nimegundua kuwa wanandoa wengi wameoa na kuolewa na watu ambao wasiowapenda kabisa, sasa sijui wana-manage vipi kuishi kwenye ndoa hizo au wanavumiliana tu?..coz i cant imagine waking up everyday next to a woman ambae simpendi, especially kwa wamama walioolewa utaskia huyu mwanaume nlikuwa simpendi, baada ya kunifuatilia sana ndo nkaolewa nae, nliekuwa nampenda alikuwa na mambo mengi. Kwa wanaume utaskia mm nlikuwa sina options umri unaenda ikabidi nioe/au demu alikuwa wa part time lakini alintegeshea mimba etc..

When i say kupenda or DREAM PARTNER simaanishi yule unaemtamani kingono, i mean yule ambae ukimuona roho inashtuka, na unajisemea i wanna spend the rest of my life with this man/woman, huko ndo kupenda ninakokumaanisha, kwa kingereza kiingine wanaita "YOUR CRUSH"

Wengine wanaoa/kuolewa na watu ambao sio kwamba hawakuwapenda tu, bali hata hawakuvutiwa nao kingono in the first place, its a very sad life.

Kwa wana-jf mlioko kwenye ndoa, je mmeoa/kuolewa na dream partners wenu? jibu kama ni ndio, are u sure dream partner wako anakupenda the same way you love him/her?
therz no such thing .. ishaeka dream hapo, wapo ndotoni tu na kweny muvi..
 
Back
Top Bottom