Kwanini watu wanapenda kuvaa milegezo?

Kwanini watu wanapenda kuvaa milegezo?

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
19,371
Reaction score
14,481
Siku hizi kuna wimbi kubwa la vijana kupenda kuvaa milegezo yaani hadi nguo zao za ndani kuonekana nje,sasa sijui sababu nini,wangekuwa wanawake tungesema wanataka wanaume! au lah! vinginevyo,sasa hawa vijana sababu ni nini?.karibuni kwa maoni.
 
Mkuu Mimi sielewi hawa vijana wanaelekea wapi, eti suruali chini ya matako alafu boxer inakaa nje inaonyesha makalio yalivyo, huku ni kutafuta wanaume kabisa, na ndio maana ushoga unazidi kushamiri hapa bongo.
 
kwa kweli mimi huwa nadind sha kabisaa, na huwa nawapapasa tako lao hasa kwenye bus maana huwa wanataka wanaume wa kuwasugua
 
Siku hizi kuna wimbi kubwa la vijana kupenda kuvaa milegezo yaani hadi nguo zao za ndani kuonekana nje,sasa sijui sababu nini,wangekuwa wanawake tungesema wanataka wanaume! au lah! vinginevyo,sasa hawa vijana sababu ni nini?.karibuni kwa maoni.

Biashara matangazo
 
ili wakatike vizuri wakati wa kutembea,,

Hahahaaa umenichekesha sana miss, umenikumbusha kuna muhuni mmoja nilimuona pale akiba suruali ipokwenye makalio akitembea anakuwa kama anakatika nilichekasana nikatamani apite karibuyangu nimuulize,
" mambo vipi Mzee ukosawa?.
 
Hahahaaa umenichekesha sana miss, umenikumbusha kuna muhuni mmoja nilimuona pale akiba suruali ipokwenye makalio akitembea anakuwa kama anakatika nilichekasana nikatamani apite karibuyangu nimuulize,
" mambo vipi Mzee ukosawa?.

nakutanua miguu ndiyo raha yao
 
1425314391974.jpg 1425314406407.jpg
 
Mashoga hawavai mlegezo ata siku moja, wengine wanachomekea kabisa.

Mlegezo ni swagger tu za street, hii style ilianzia huko Marekani kwenye jela moja kuna mchiz nguo alizopewa baadae zilimpwaya akageuza style.
 
Kenge gani anatetea ujinga humu? Ati style nyammmbaaf mbona ulipokua mchanga wazazi wako hawakukuvisha "Visepe" out of kijambio!?
 
Back
Top Bottom