AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,402
May be!May be uko serious sana..May be hauko politely the way you talk..May be unaongea kwa ukali ukali..may be uko stressed bila kujijua..may be una over confidence..may be mtaa wa unaokaa ww ndio unaonekana unavisenti..may be uoga wao tu..may be wenge lako tu kuonwa unaogopwa kumbe hamna lolote..may be stimu unazotumia unajiona kama Vandame..may be ..may be ..may be...
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabadilika inakuwa nyota ya nyau!Madame jibu lako ni sahihi, nyota ya simba yani mtu anakuwa anaogopwa mpaka mke anakuogopa watoto wakikuona hata maji hawanywi ila huwa inafifia kadri umri unavyosonga ukizeeka inaisha kabisaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanakuogopa hawakuheshimu kama unavyodhani, hiyo ni heshma ya woga.Nakosa amani maana watu wananiogopa sana na kuniheshimu kupitiliza, mbaya zaidi hata watu walionizidi umri!! Wakati mwingine natembea nimeinamisha kichwa chini ili nisiwaogofye watu kwa kufanya nao eye contact!
Sent using Jamii Forums mobile app
hhahahaha...... au kichwani ana bonde??Itakuwa wanamfananisha na kichaa mpendasifa malaika mkuu
Hatutofautiani nami nipo hivyo but nikifunguka kupiga story wengi wananifurahia but wanahisi naweza kumdhulu mtu akileta mambo ya ajabu even though naweza because sipendelei ujinga na mambo ya ajabu.Wasalaam...
Mimi ni Kijana wa early 30's, nina urefu saizi ya kati, rangi ya maji ya kunde. Kwa asili mimi ni mtu mkimya SANA.
Nimekuwa niki experience namna ambavyo watu wanajawa hofu wakiwa karibu yangu... aidha watanisalimia kwa woga na kutetemeka, au wataonyesha ishara ya kunyong'onyea.
Watoto wadogo na vijana ndio balaa kabisa, wakiniona wanatetemeka sana huku wananiamkia haraka haraka.
Hii hali inanitesa sana maana hata kazini watu wananiogopa na wakiniona wanajisikia inferior sana. Nikianza kuzungumza kila mtu anaitikia kwa hofu. Wakati mwingine najaribu kukaa mbali na watu ili wasijisikie duni!
Ni nini hiki? Sidhani kama sura yangu inatisha maana mke wangu na baadhi ya wanawake huniambia mimi ni handsome! Kwahiyo naamini sura yangu haitishi!
What is this?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hata ww fungua uzi weka nukta watu watachangiaUzi tayari
Jichunguze pengine una tabia za kibeberuWasalaam...
Mimi ni Kijana wa early 30's, nina urefu saizi ya kati, rangi ya maji ya kunde. Kwa asili mimi ni mtu mkimya SANA.
Nimekuwa niki experience namna ambavyo watu wanajawa hofu wakiwa karibu yangu... aidha watanisalimia kwa woga na kutetemeka, au wataonyesha ishara ya kunyong'onyea.
Watoto wadogo na vijana ndio balaa kabisa, wakiniona wanatetemeka sana huku wananiamkia haraka haraka.
Hii hali inanitesa sana maana hata kazini watu wananiogopa na wakiniona wanajisikia inferior sana. Nikianza kuzungumza kila mtu anaitikia kwa hofu. Wakati mwingine najaribu kukaa mbali na watu ili wasijisikie duni!
Ni nini hiki? Sidhani kama sura yangu inatisha maana mke wangu na baadhi ya wanawake huniambia mimi ni handsome! Kwahiyo naamini sura yangu haitishi!
What is this?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko wp Dar ama mikoani......