GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,562
- Thread starter
- #41
Mke wako lzma akusifie unafikiri atakuponda, lbda una sura kama vile mtu anaetaka kupiga chafya
Sent using Jamii Forums mobile app




Unafanya kazi gani?cheo chako?Nakosa amani maana watu wananiogopa sana na kuniheshimu kupitiliza, mbaya zaidi hata watu walionizidi umri!! Wakati mwingine natembea nimeinamisha kichwa chini ili nisiwaogofye watu kwa kufanya nao eye contact!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Mwili wangu ni wa kawaida kabisa. (athletic)Punguza huo mwili mkubwa wa nn ndio maana unaogopesha. Na vile uko serious akutake nani?
Vip wadada nao wanakuogopa?
Hela unayo?![]()
býe
Sasa je...wataachaje kukuogopa kwa mfano?






- mkimya sana1.mkimya sana
2.mpole sana
3.unauhusiano mdogo na jamii
4.muoga
5.mkali
6.muda mwingi unapenda kukaa na watu wa aina gani. ?
7.unajisikia furaha na huru ukikaa pekee au na watu.?
8.unapendelea kufanya nini.?
9.ni vitu gani vya kutumia akili unapenda kuvifanya na huwa unavifanya vyema.? Taja zaidi ya kimoja
10.kazi gani unapenda kizifanya.?
Mkuu maswali yajibu hizo tabia ambazo unazo ziandike namba zake
Naishi maisha ya kawaida kabisa. Na vile ninavyojifungia ndani hakuna anayejua kama mimi ni wakili. Hata watu ninaokutana nao njiani wananiogopa.Sasa je...wataachaje kukuogopa kwa mfano?
Wabongo wengi ni mabingwa wa kuogopa vyeo na pesa, hata wazee watakwambia " shikamoo mzee"
Sent using Jamii Forums mobile app