Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 6,137
- 11,400
- Thread starter
- #21
KwaniniMi ningekuwa moderator wote nyinyi kwenye huu uzi mngekula ban!
KwaniniMi ningekuwa moderator wote nyinyi kwenye huu uzi mngekula ban!
tena ningeanza naweweNajiulizaga, wao youtube wanalipwaga na nani?
Kulikonitena ningeanza nawewe
hamna hela halafu mnajadili watu wenye hela mkisema hawana hela nyinyi ni wachawiKwanini
basi tuKulikoni
Content za kiswahili, ina maana watazamaji wake ni Kutoka Huu ukanda wetu East Africa, View laki 3 hela ya kawaida mno, ni hela tu ya kubadilisha mboga hamna Bilioni hapo.Mimi huwa nawashangaa sana , kuna vijana wanakunja mpunga huko Youtube tusiwachukulie poa. Mwaka uliopita Diamond kakunja zaidi ya bilion 6 youtube kwa nyimbo yake Diamond Platnumz earns over Sh6.8 billion on YouTube in 2024
Kwa haraka haraka kipato chake kwa mwezi ni milion 37-mpaka .milion 100 sasa mtu kama huyo atakosaje bilion ?
NB watengeneza maudhui huko yutube tusiwachukulie poa hata kidogo kama google wanalipa Kwa CPM 1.9$ na mtu kwenye ka clip kamoja ana views 300k ndani ya siku chache tu hata wiki haipiti unadhani anakunja kiasi gani?
Ningekuwa najua kuigiza 🤣 ninhefungua channel leo
View attachment 3311877
View attachment 3311878
yule ana hela ya kawaida tu chifuHauko serious mkuu?? Mtu mwenye hela anatakiwa amiliki kuanzia shs ngapi ??
hata mimi nilikua naamini hivyo mpaka siku nilipopishana nae usiku wa manane kwenye msafara wake kulikua na v8 moja tu na mdio ilikua gari ya kipumbafu nikajisemea moyoni this kid is rich in european standardsNinavyofikiria ni kua Chibu ana hela ya kawaida sio vile watu wanavyodhani....
anafanya bragging sana
Views laki 3 ni kipande kimoja hicho🤣Content za kiswahili, ina maana watazamaji wake ni Kutoka Huu ukanda wetu East Africa, View laki 3 hela ya kawaida mno, ni hela tu ya kubadilisha mboga hamna Bilioni hapo.
unafanya nini humu?hamna hela halafu mnajadili watu wenye hela mkisema hawana hela nyinyi ni wachawi
Hahaunafanya nini humu?
QuadrillionHauko serious mkuu?? Mtu mwenye hela anatakiwa amiliki kuanzia shs ngapi ??
Ndio, kama kipande kimoja kapata $200 ukitoa production cost, camera, editing etc inabaki nini? Si hela tu ya mwalimu hio?Views laki 3 ni kipande kimoja hicho🤣
Unajua CPM ya bongo kwenye content za burudani? Angalia hiyo ya bongo, Congo, na kenya halafu uje hapa tufanye calculations hata hivyo 200$ hiyo hata kama ana uwezo wakuipata kwa siku bado ni pesa nyingi ambayo inaweza kumzalishia bilion kwa miaka aliyokaa huko YoutubeNdio, kama kipande kimoja kapata $200 ukitoa production cost, camera, editing etc inabaki nini? Si hela tu ya mwalimu hio?
Hao wanaofanikiwa na YouTube wana target Cpm za nje huko, ukisikia Diamond anaimba Coma sava sio kwamba sio mzalendo wa kiswahili bali anajua hakilipi. View laki 3 kibongo bongo ngumu kulipa.
Haifiki Dola 1,Unajua CPM ya bongo kwenye content za burudani? Angalia hiyo ya bongo, Congo, na kenya halafu uje hapa tufanye calculations
Nani kakuambiaHaifiki Dola 1,
Eka ushahidiNani kakuambia
Sitaki kubishana nawewe ila avarage CPM 1.8$-4$ tena kama unapata wakenya na wakongo ukimx hapoEka ushahidi
Kwa diamond hiyo hela ni ndogo yule jamaa ana hela..Angekuwa na Tsh Bilioni 6 asingekuwa anahangaika na kununua magari used. Nenda kwa wenye hela huko Nigeria uone maisha wanayoishi.
Huyu Diamnond wenu hata mhawara aliowazalisha kutunza watoto tu mpaka wampeleke Mahakamani!! Huyo hafanani na Bilioni 6