Desierto
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 847
- 2,954
Mfano: mambo ya unyakuo wa kupalizwa mbinguni.
Kwenda kuchomwa moto, ni nani alisema kwamba adhabu Kali ni kuchomwa moto tu.
Habari za mitume kwahiyo toka enzi hizo hakuna binadamu wema au ambao wamehubiri amani kuliko hao mitume wa kusadikika.
Taifa teule la mungu doh! basi huyu mungu mnaosema Hana upendeleo mbona Hana tofauti na binadamu tu yaani mataifa yote duniani ila moja TU ndo analipenda.
kama tu mpaka Leo hamjui mapiramidy ya misir ambayo yanaonekana kwa macho kwamba yalijengwaje. je vp kuhusu hizo story za yesu si itakuwa ni uongo mara 10
Watu wanapambana kukemea mapepo ambayo hata hawajui yapo na umbo gani Wala yanaishi vp.
Ni hayo tu kwa Leo.
Kwenda kuchomwa moto, ni nani alisema kwamba adhabu Kali ni kuchomwa moto tu.
Habari za mitume kwahiyo toka enzi hizo hakuna binadamu wema au ambao wamehubiri amani kuliko hao mitume wa kusadikika.
Taifa teule la mungu doh! basi huyu mungu mnaosema Hana upendeleo mbona Hana tofauti na binadamu tu yaani mataifa yote duniani ila moja TU ndo analipenda.
kama tu mpaka Leo hamjui mapiramidy ya misir ambayo yanaonekana kwa macho kwamba yalijengwaje. je vp kuhusu hizo story za yesu si itakuwa ni uongo mara 10
Watu wanapambana kukemea mapepo ambayo hata hawajui yapo na umbo gani Wala yanaishi vp.
Ni hayo tu kwa Leo.