Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,407
- 6,340
Elimu ya chuo imekaa kifala sana. Wangefanya kuwe na board inayosimamia mitihani ya chuo, mtihani mmoja unafanywa na vyuo vyote kwa faculty husika. Hii ingesaidia kufanya standards.
Aisee mi mwenyewe sikumwelewaWatu wa PCB, PCM, PGM hawawezi kukuelewa hata kidogo
Kwanini hapa Tanzania watu wanaheshimu sana cheti cha form four yaani ikiwa hata kama una GPA ya tano ila form four ukiwa na four unachukuliwa poa.?
Hii inasababishwa na nini mfano yule Mkuu wa Nchi ya Matiyaski Ana masters Ila watu wanambeza Sana wanasema Elimu yake ni fake kisa tu alipata Four ya mwishoni .