Gulaya
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 659
- 230
Hivi ni kwanini watu wafupi hawazeeki haraka ukilinganisha na warefu, kuna sababu zozote za kibaiolojia?
kwasababu wafupi
Hivi ni kwanini watu wafupi hawazeeki haraka ukilinganisha na warefu, kuna sababu zozote za kibaiolojia?
bwahahahahahaha MxInawezekana yeye ni mfupi na mweusi tiii halafu anajiona kazeeka mapema ndiyo maana akaReact hivyo.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kukukhikhikhahahahaah!Hizi mada zinaninyima amani sana! Kule MMU kuna mada kutuhusu, basi mtufungulie makambi tujue moja!
Mfupi na anafikiri mnajua kama dume yake fupi sanaaa!Inawezekana yeye ni mfupi na mweusi tiii halafu anajiona kazeeka mapema ndiyo maana akaReact hivyo.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Si kwamba hawazeeki haraka bali wanachelewa kukua,si wabishi bali wanachelewa kuelewa,si waasherati bali wanachelewa kuridhika!na wabishi sana
Kwa uasherati sasa!