Kwanini watoto wa siku hizi hamlewi?

Kwanini watoto wa siku hizi hamlewi?

Papillon 1906

Senior Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
191
Reaction score
663
Kizazi hiki asa hivi hakitumii pombe kabisa labda mtuambie sie baba zenu mnatumia nini nyinyi mibangi au mnapemesa nyie,sio kawaida mtaani watu hawayumbi tena kama zamani na mikao ya pombe imekuwa michache kwanini?

Kwa takwimu za miaka minne iliyopita inaonesha kuwa makampuni ya pombe yamepata hasara ya zaidi billioni 830 hii inaonesha jinsi gani watu wamepunguza kutumia pombe au uchumi unakaba?

biere_1024x1024.png
 
Wewe unaishi ushuani ndio maana hauoni wakiyumba. Huku buza kila siku napishana nao mitaroni huko wameanguka wengine wanalala barabarani inabidi wasogezwe ndio mpite.
Wanakunywa Gongo si mchezo.
 
Kizazi hiki asa hivi hakitumii pombe kabisa labda mtuambie sie baba zenu mnatumia nini nyinyi mibangi au mnapemesa nyie,sio kawaida mtaani watu hawayumbi tena kama zamani na mikao ya pombe imekuwa michache kwanini?

Kwa takwimu za miaka minne iliyopita inaonesha kuwa makampuni ya pombe yamepata hasara ya zaidi billioni 830 hii inaonesha jinsi gani watu wamepunguza kutumia pombe au uchumi unakaba?

View attachment 3614147
"Asa hivi"..
 
Kizazi hiki asa hivi hakitumii pombe kabisa labda mtuambie sie baba zenu mnatumia nini nyinyi mibangi au mnapemesa nyie,sio kawaida mtaani watu hawayumbi tena kama zamani na mikao ya pombe imekuwa michache kwanini?

Kwa takwimu za miaka minne iliyopita inaonesha kuwa makampuni ya pombe yamepata hasara ya zaidi billioni 830 hii inaonesha jinsi gani watu wamepunguza kutumia pombe au uchumi unakaba?

View attachment 3614147
Bia zenyewe castle lite,serengeti lemon, frying fish, serengeti lite
 
Gen z wanapendelea pombe za makaratasi na kuwa ma dragons...
 
Chezea CCM weye...ni hatari mno...Waliondoa mpaka huduma ya Chakula kwa Wagonjwa kwenye Hospital za Serikali-CCM ili Wagonjwa wawe wanameza tu dawa bila kula....!!!Anzia hapo
 
Ni kulana na kunyonyana ndogo tu. Pombe walizibugia enzi za Chalamila na Makamba huko
 
Back
Top Bottom