Ukishajua level yake ya elimu ndo huo mtaro mchafu unazibuka au?kwa nature ya comment yako I can describe your age , level of education, IQ, etc
Ukishajua level yake ya elimu ndo huo mtaro mchafu unazibuka au?kwa nature ya comment yako I can describe your age , level of education, IQ, etc
MATAGA, LB7, milembe campus, psychiatry, wanufaika wa mfumo ndo wapiga kura wa jiwe bila kusahau wananzengo wa Gambosi na Burigi.Jpm miaka 5 iliyopita tuliamini ataleta furaha na haki kwa watu, mbaya zaidi amezidi kuligawa taifa letu kwa misingi ya kipato, pia kisiasa.Badala ya kuliunganisha taifa kalitenganisha zaidi..
Hunalolote ulijualooo. Hangaikeniii na jamaaa yenuuuuu. Kama watanzania wangekua hawana furaha, wangemkubali jaaamaa yenuuu.Hili la Lissu kudanganywa umefanya utafiti? Na umeisubmit wapi?
CCM hata Kiswahili kinawashinda kuandika ...ni mumeo na si mmeo...Mwambie mmeo ndio anamawazo mgando