Kwanini watanzania wengi hawakai karibu na mito?

walikuwa karibu na mito
mnamo mwaka 1974
operation sogeza ilipita
moja ya mitihani iliyojitokeza ni huo.
 
Haihitaji elimu ya darasani kufahamu kuwa kukaa mbali na mito ni miongoni mwa njia za kuhifadhi mazingira, kama watu wakikaa karibu na mito wataharibu mazingira ya mito hiyo kwa kukata miti matokeo yake hiyo mito itakauka na maisha yao na wengine walio upande wa chini au eneo lingine linalotegemea maji kutoka mto huo watapa shida.
 
Hapa nadhani kunahitaji kupitia kwa umakini vinadharia vya uanzishaji wa makazi ili tuone nini kilitokea.
Tunaweza kuanzia na kuchunguza ukuaji mdogo wa Ruvu darajani ukilinganisha na Mlandizi au Chalinze.
Kunahitajika study kabisa.MIJI MINGI MFANO ULAYA ilkua haraka kwenye maeneo karibu na mito
 
Labda wanamuogopa mkuu wa wilaya ya hai asije kuwavunjia miundombinu yao kama alivyofanya kwa freeman mbowe
 
Mito mingi ilikuwa haiko deep ndy ilikuwa inaanza hivyo maji Yalikuwa yanatapakaa sana wakati wa mvua.... Chukua mfano mto mdogo wa Msimbaz unavyoitesa Dar Je mto kama Ruvuma,Rufiji Pangani unaobeba maji kutoka Kenya, Kilimanjaro, Arusha na manyara utakuwa na hekaheka zipi mvua zikinyesha?
 
MTO kama rufiji,kilomboro,malagarasi ukajenge karibu,? Unawajua viboko wewe,unawajua mamba we we, unayajua mafuriko we we.Unawezaje kufananisha overpopulated India na Blessed Tanzania !!
 
Mzee bora bahari au maziwa lakini mito CHUNUSI wake sio wa dunia hiii hutalala utajikuta kila siku unaamkia mtoni
 
Sijawahi ona sehemu mzuli na mito inayo toa maji kama bukolwaa sasa walipo kuja geita gold mine nijangwa tu mito isiyo na mafuliko maji ya mapolomoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…