Hapo nayo mumetushinda, kwa vile hamna lingine la kufanya, kazi huko Tanzania ni kuimba na kuzaana tu! Huku Kenya uki ambia mzazi unataka kuwa mwanamziki, kwanza atahuzunika sana, kwa sababu hatuoni ikiwa kitu serious, tunapenda masomo na kufanya kazi halisi.Yaani Kenya mpaka vijijini ni muziki wa bongo Flava Tu...nimeshangaa sana...cd kibao kwenye taxi matatu vijiwe nongwa etc..t-shirt za wcb mara unaona magufuli stationery( Iko eldoret)
zaidi ya wakenya 2000 hutegemea hili jalala kama kimbilio lao kwa chakula cha kila siku.Tanzania chronic malnutrition is above the african average with 32% of the children under 5 having stunted physical and mental growth. enda website ya WFP uone jinsi wanawasaidia kutoka kwa vyakula vyenyu hafifu ya mihogo na maharage.
WFP is supporting government efforts to combat malnutrition in all its forms and is distributing specialized nutritious foods to address stunting.
Punguzeni kula maharage na mihogo. Mboga, carrot, peas etc pia ni chakula, nyinyi mumejiweka tu kwa maharage, mihogo na mahindi.
zaidi ya wakenya 2000 hutegemea hili jalala kama kimbilio lao kwa chakula cha kila siku
Wakenya mnayo safari ndefu sana na mnatia huruma hasa kwa kufake life, maisha ya wakenya 99% ni ya hovyo sana, sifurahi kabisa haya sababu kiubinadamu si vizuri.
Huku Tanzania hakuna politicians wenye kumiliki helicopter. Sisi sio corrupt society kama ninyi.Hawa wanaipenda Kenya kufa kupona hata ndege za kampeini wamekodi kenya.View attachment 1576521View attachment 1576523
Ktn ni udaku siku hizi?Kawaida ya ujinga wenyu watanzania, kuenda twitter badala ya kunagalia WFP, UN na global nutrition report. Yani udaku mnachukua kuwa habari ya kweli ikiwa inaonesha kenya vibaya.
Kweli mko na shida mingi, na kutokuwa na akili ni moja ya hizo shida. Mumechukua udaku na ujinga yenyu ya kijiji mkaileta mtandaoni.
they buy and process locallyKawaida ya ujinga wenyu watanzania, kuenda twitter badala ya kunagalia WFP, UN na global nutrition report. Yani udaku mnachukua kuwa habari ya kweli ikiwa inaonesha kenya vibaya.
Kweli mko na shida mingi, na kutokuwa na akili ni moja ya hizo shida. Mumechukua udaku na ujinga yenyu ya kijiji mkaileta mtandaoni.
Inasikitisha sana ukifuatilia hayo makala utashangaa namna watanzania tulivyo na bahati, kwanza Tanzania dumpsters zetu zipo kama za ulayaKtn ni udaku siku hizi?
Usione wapo hapa wanashupaza shingo, Kenya ni nchi ya hovyo kupita maelezo, hata wao wenyewe wanajua hivyo.Inasikitisha sana ukifuatilia hayo makala utashangaa namna watanzania tulivyo na bahati, kwanza Tanzania dumpsters zetu zipo kama za ulaya
U can learn some EnglishJust type in kiswahili so that we can understand.
Ovyo that u can't stop daydreaming of it.Kila siku Kenya Kenya jamaa wacha kujistress bure pambana na hali yako.Usione wapo hapa wanashupaza shingo, Kenya ni nchi ya hovyo kupita maelezo, hata wao wenyewe wanajua hivyo.
Mimi nimeamua kupambana na nchi ya hovyo sio hali yangu.Ovyo that u can't stop daydreaming of it.Kila siku Kenya Kenya jamaa wacha kujistress bure pambana na hali yako.
Wewe huna tofauti na kichaa hapo ulipo kama umekila cjui ando mawe yapo jikoni ila kama leo umebahatika Kula bac vyote vilivyopo tumboni mwako % 90 from TANZANIA tukianzia ugali Nyanya, vitunguu, kama cjui una pesa hata ya Kula hilo tunda na kama umebahatika bc kaa ukijua from TZ sasa unaposema tuna mihogo tu na maharagwe wakati hata serikali yako inajua TANZANIA Nani bc itakua we una kimojawapo Kati ya haya labda umezidishiwa au umepungua kichwan haziko sawa.Tanzania chronic malnutrition is above the african average with 32% of the children under 5 having stunted physical and mental growth. enda website ya WFP uone jinsi wanawasaidia kutoka kwa vyakula vyenyu hafifu ya mihogo na maharage.
WFP is supporting government efforts to combat malnutrition in all its forms and is distributing specialized nutritious foods to address stunting.
Punguzeni kula maharage na mihogo. Mboga, carrot, peas etc pia ni chakula, nyinyi mumejiweka tu kwa maharage, mihogo na mahindi.
hata mie !Mimi nimeamua kupambana na nchi ya hovyo sio hali yangu
Yani kama chizi unajisifia upuuzi TANZANIA ilikua hivyo miaka ya 98 ninyi 2020 ndio mupo hivyo halafu unajisifia ndio maana mpaka mpira ligi ya TANZANIA ndio ligi bora E. A na kati kila mchezaji ya Kenya anaota kuchezea Tanzania tu.Hapo nayo mumetushinda, kwa vile hamna lingine la kufanya, kazi huko Tanzania ni kuimba na kuzaana tu! Huku Kenya uki ambia mzazi unataka kuwa mwanamziki, kwanza atahuzunika sana, kwa sababu hatuoni ikiwa kitu serious, tunapenda masomo na kufanya kazi halisi.
We kichaa ee kwenda Twitter wakati hiyo TV yenu ya Taifa unaipinga.Kawaida ya ujinga wenyu watanzania, kuenda Twitter badala ya kunagalia WFP, UN na global nutrition report. Yani udaku mnachukua kuwa habari ya kweli ikiwa inaonesha kenya vibaya.
Kweli mko na shida mingi, na kutokuwa na akili ni moja ya hizo shida. Mumechukua udaku na ujinga yenyu ya kijiji mkaileta mtandaoni.