min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 45,989
- 126,455
Ukiwa na akili timamu tu utang'amua ukweli wala haihitaji uwe mgalatiaLete ukweli! Uwe na advocate mzuri pia
Ukiwa na akili timamu tu utang'amua ukweli wala haihitaji uwe mgalatiaLete ukweli! Uwe na advocate mzuri pia
heshima yake ilipotea lini hasa?Huyu mama itachukua muda sana kurudisha heshima yake. Watu wanamdharau
muuaji anayefata watu nyumbani ambao hawana silaha hawezi kuwa na busara"Tuendeleze mema tuliyojifunza mwezi mtukufu"
Mbona ni maneno ya busara tu 😂
Nikikumbuka post zangu za kumsifia nabaki kujilaumu tuuMi nilimpenda mara ya kwanza. Sikujua atageuka kuwa muuaji
Wagalatia hao wanamchukia Samia
Huwezi ukawa na akili nzuri ukamheshimu Kilaza KahabaLete ukweli! Uwe na advocate mzuri pia
kama heshima yake ilipotea mwaka jana , basi hata wanaomcheka sasahivi inabidi tuwacheke piaMwaka jana especially, heshima yake ilipotea kabisa
Hata akitoa hotuba, watu walikuwa wanazitengenezea beat na kuzipuuza.
Labda kama umeisahau hii challenge jinsi ilivyotrend Africa nzima
View attachment 3560961
Watu wengi wameanza kumshushia heshima Samia mwaka jana baada ya kuzijua rangi zake halisikama heshima yake ilipotea mwaka jana , basi hata wanaomcheka sasahivi inabidi tuwacheke pia
Nani huyo kahaba?Huwezi ukawa na akili nzuri ukamheshimu Kilaza Kahaba
Watu wengi wameanza kumshushia heshima Samia mwaka jana baada ya kuzijua rangi zake halisi
Maana yake tangu mwaka jana hadi leo watu wanaomdharau Samia wanazidi kuongezeka. Hata akiongea maneno ya busara watu wanamuona mnafiki tu
Mpaka watu wanamtengenezea video za hivi. Huoni tu kama heshima yake imeshuka kama sio kupotea mazima?
View attachment 3560970
ZakinafikiKwa nini sikuhizi kila post ambayo inaonesha busara za Samia zinapata reaction nyingi za kucheka. Ni kama hamchukulii serious anachokisema. Sijapenda 😂😂
View attachment 3560953