Kwanini watanzania hatutamchagua Lowassa?

Kwanini watanzania hatutamchagua Lowassa?

Hayati Kolimba akiwa katibu mkuu wao alisema "...ccm imepoteza dira na mwelekeo..." bado watanzania hawakumuelewa... Mzee Moyo nae akasema "hii si ccm niliyoijua..." bado hatuelewi... mzee Kingunge amerudia tena haitoshi balozi Mwapachu kauli hizohizo... bado tumejing'ang'aniza humo!!! Wanaolijua gari wameshuka wakijua halina breki na mbele kuna korongo sisi wapandia njiani na wadandiaji tunapanda tukishangilia KWA SAUTI KUBWA MBELE KWA MBELE!!!!

HIVI HUKO MBELE MMESHAJUA KUNA NINI?
Wote hao ni marafiki wa kuribu wa Lowassa sio kwamba wanapigania mabadiliko ya kweli,wamekimbiria huko kujaribu bahati yao - wanacho tafuta ni vyeo just incase, mengine yote ni maigizo tu. Watanzania tumesali sana Mungu hawezi kutupatia kiongozi wa type ya YELSTIN.

Kwa nini mnasahau kwamba Mzalendo Magufuli kateuliwa na chama chake kwa njia ya Kimungu Mungu tu,tukubaliane kwamba alifika hatua ya kupependezwa kimiujiza ujiza - hiyo ni ishara tosha kwamba huyo ndiye Chaguo la Mungu.
 
Lowassa ana vinasaba vya ufisadi?
watanzania hatutaichagua ccm kwa kushindwa kumwajibisha fisadi mpaka anafikia hatua ya kugombea urais!!
 
KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:

Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.

Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.

sema wewe ndiyo huta mchagua na familia yako siyo Watanzania
 
tutamchagua tu huyo ndio anatufaa hatakuwa na tamaa tena
 
Cntomchagua Magufuli kwani hana sifa hata moja ya kuwa rais,, ntamchagua lowasa kwani ni mwadilifu na mchapa kazi ndyo maana mafisadi wa ccm wanamuogopa..
 
KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:

Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.

Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.

well said member and congrats!
 
Magufuli na uzinzi wake wa kugawa nyumba za taifa kwa vimada hamuoni kuwa ni dhambi ambayo iko kwenye amri kumi za Mungu???? BAADHI YA WATANZANIA MMEROGWA...KWASABABU MNAPENDA VYA DEZO....
 
Sema wewe ndie hutamchagua lowassa sio wote. Mimi na familia yangu wote ni watu wamabafiliko...CCM tupa kule

na hata katika familia zetu kuna zile za wenye akili na zile za wapumbavu na malofa. ila nijuavyuo ni kwamba familia zote za wenye akili tayari zimeshaamua kuwa kura zao zote watazipeleka kwa dr. john pombe joseph magufuli. hivyo wenye familia zenu za kipumbavu na kilofa tafadhalini endeleeni tu kubaki nazo na kumpigia mfalme wenu wa upungufu wa akili. hapa ni kazi tu!
 
KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:

Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.

Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.

Sema kwa nini hutamchagua sio kwa nini watanzania hawatamchagua
 
Bunge lilishamhukumu kuwa ni fisadi.Si lazima kumpeleka mahakamani kwa sasa kumnyima kura tarehe 25 octoba ni hukumu ya kumtosha sana tena sana.

Katika watu wasio na haya dunia hii ni Lowasa hivi anaweza akaka akiota uraisi kweli!!!!
Angekuwa anahitaji uraisi ilitakiwa ajiandae kitabia na kiafya kuanzia miaka mingi iliyopita.Lakini hakujali kujiangalia kitabia wala kiafya.Alijiishia maisha ya hovyo yasiyompendeza Mungu wala wanadamu leo hii huyu bila aibu anaibuka eti anautaka uraisi!!! NYOOOOOOOOOOO!!!!!

basi wewe kajiandaae kiafya usije ukaenda kaburini
 
Back
Top Bottom