Kwanini Watangazaji wa Clouds tv 360 ndiyo wanapewa sana Kipaumbele kushinda wenzao wengine?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,641
109,014
  1. Wanakubalika mno hadi na Mheshimiwa Rais wetu wa JMT.
  2. Wanakula sana bata ( wanastarehe ) kuliko wenzao.
  3. Wanapata umaarufu kila kukicha kuliko wenzao.
  4. Wana influence kubwa kwa Mabosi zao hapo na kwa Watazamaji wengi.
  5. Wana Confidence kubwa kuliko Wafanyakazi wenzao.
  6. Wanaonekana kuwa na afya nzuri na bora kuliko wenzao wote pale CMG.
  7. Wana maisha mazuri hasa Kipesa kuliko wenzo wote hapo CMG.
Nitawashukuruni kama mtanipa ufafanuzi wenu zaidi na naomba kuwasilisha.
 
Sio wa 360 tu mbona wote wana kula bata sana na wako vzuri kiafya mfano XXL. Lakini kuhusu kulipwa vizuri sijajua kama malipo ya mshahara yanaangalia kipindi ama elimu ya mtangazaji. Ni hayo
 
  1. Wanakubalika mno hadi na Mheshimiwa Rais wetu wa JMT.
  2. Wanakula sana bata ( wanastarehe ) kuliko wenzao.
  3. Wanapata umaarufu kila kukicha kuliko wenzao.
  4. Wana influence kubwa kwa Mabosi zao hapo na kwa Watazamaji wengi.
  5. Wana Confidence kubwa kuliko Wafanyakazi wenzao.
  6. Wanaonekana kuwa na afya nzuri na bora kuliko wenzao wote pale CMG.
  7. Wana maisha mazuri hasa Kipesa kuliko wenzo wote hapo CMG.
Nitawashukuruni kama mtanipa ufafanuzi wenu zaidi na naomba kuwasilisha.
Mkuu Clouds hakuna lolote mtu anaonekana anapata raha ila in reality unakuta ni upuuzi tu
 
  1. Wanakubalika mno hadi na Mheshimiwa Rais wetu wa JMT.
  2. Wanakula sana bata ( wanastarehe ) kuliko wenzao.
  3. Wanapata umaarufu kila kukicha kuliko wenzao.
  4. Wana influence kubwa kwa Mabosi zao hapo na kwa Watazamaji wengi.
  5. Wana Confidence kubwa kuliko Wafanyakazi wenzao.
  6. Wanaonekana kuwa na afya nzuri na bora kuliko wenzao wote pale CMG.
  7. Wana maisha mazuri hasa Kipesa kuliko wenzo wote hapo CMG.
Nitawashukuruni kama mtanipa ufafanuzi wenu zaidi na naomba kuwasilisha.
Ubunifu tu wa kazi,mbona Mtembezi Nugas nae anakula sana bata? mbiga nae anakula sana mahanjumati kwenye kipindi chke cha dikodiko sijui upupu gani huko.....
 
Ushajijibu mwenyewe kwamba wana confidence kingine sio wanafiki kivile afu wanajua wanachokifanya ndio maana wanakubalika.
 
Nafikir ni Elimu Yao zidi Ya mwenzao pia nayo inachangia ? Nimekuja gundua media nyingi zenye watu wenye elimu kiduchu na maswala ya journalism wapo vzur kifedha (wafanyakazi wao)
 
Back
Top Bottom