mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,041
- 35,929
miaka yangu saba kama mwalimu wa hisabati nimegundua asilimia kubwa ya wale wanafunzi wa kike warembo wanafeli somo langu kulinganisha na wale waliochukua sura za baba zao.hali iko kinyume kwa rafiki yangu anayefundisha english,hawa warembo wengi wao wanafaulu zaidi somo lake.mpaka leo sijui sababu.