Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Leo nilikuwa napitia huko youtube nimegundua wasanii wetu watachukua muda mrefu kufikia level za wasanii wa naija. Kwanini tunaachwa mbali sana nyimbo za wasanii wetu ukizisikia zinavyolia kila mtaa unaweza usiamini utachokiona huko youtube viewers ni wachache sana
Wakati wenzetu ukisikia nyimbo inalia mtaani utakuta inatembea viewrs 50m wanakwama wapi wasanii wetu. Unaweza kukusanya video zote za msanii wa muda mrefu lakini utakuta hamfikii hata chipukizi wa naijeria aliyetoa nyimbo moja
Tunawasanii hawazidi saba ndio ambao tumekuwa tunawategemea ndo mana wanashindwa kushindana na msitu huu wanaijeria
Wakati wenzetu ukisikia nyimbo inalia mtaani utakuta inatembea viewrs 50m wanakwama wapi wasanii wetu. Unaweza kukusanya video zote za msanii wa muda mrefu lakini utakuta hamfikii hata chipukizi wa naijeria aliyetoa nyimbo moja
Tunawasanii hawazidi saba ndio ambao tumekuwa tunawategemea ndo mana wanashindwa kushindana na msitu huu wanaijeria