Tanzania haitakaa iendelee maana chunguzi zinazofanyika ni za kibwege sana.
Unasikia kuna hatihati ya Ebola wewe unachunguza upuuzi.
Wewe huwa unalamizisha kuwa GT while in reality you are not, nimesema hao ni baadhi tu. Unafaham maana ya neno baadhi??? B.W.E.G.E wewe
Tanzania haitakaa iendelee maana chunguzi zinazofanyika ni za kibwege sana.
Unasikia kuna hatihati ya Ebola wewe unachunguza upuuzi.
Tanzania haitakaa iendelee maana chunguzi zinazofanyika ni za kibwege sana.
Unasikia kuna hatihati ya Ebola wewe unachunguza upuuzi.
Amini, godwin gondwe, flora mbasha, Mamaake hasheem thabit,wewe mwenyewe etc
Tanzania haitakaa iendelee maana chunguzi zinazofanyika ni za kibwege sana.
Unasikia kuna hatihati ya Ebola wewe unachunguza upuuzi.
Tanzania haitakaa iendelee maana chunguzi zinazofanyika ni za kibwege sana.
Unasikia kuna hatihati ya Ebola wewe unachunguza upuuzi.
Nimefanya uchunguzi mdogo tu nimegundua kuwa wasanii wengi wa music Tanzania ni wafupi, sijui kwanini? Au kuna uhusiano wowote ule kati ya ufupi na kipaji? Au ndio ile theory ya kwamba watu wafupi wanapenda sana kujionyesha kwakuwa wanahisi wanadharaulika?
Wafuatao ni baadhi tu kati ya wale wengi:
1. Barnaba Boy
2. Stamina
3. Linnah
4. Sheta
5. Rich Mavoko
6. Nikki wa Pili
7. T.I.D
8. Ommy Dimpoz
9. Dully Sykes
10. Ally Kiba
KWANINI WASANII WENGI WA BONGO WAFUPI?
DR. MCHUNGUZI HURU (PhD)
10 out of wasanii wote wa music bongo.. ndio wengi?
Lady Jay Dee '4'6, Diamond ni futi 4'10 bila viatu na ni Muha, Joti futi 2'10...wera wera!
B.W.E.G.E ni yule anaye fanya utafiti bila data kamili.. ungetoa idadi kamili ya wasanii wote na ukaweka idadi ya hao wafupi. Nenda BASATA
Ok Bye
Kuna jamaa huku kitaani anasema alimuona ommy dimpoz akiwa amevaa skin jeans ub..oo ukasimama....Dah usiombe watu wakuchoke.