KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Siku hizi akina dada wengi wanafanya mambo ya kuigiza zaidi ya asilia,mfano kuwa na makalio(kigoda) ,matiti,hips,miguu ya kufyatua aka mchina .athari zake wanazijua au wanataka kumaliza madawa yetu mahosipitalini hapo siku zijazo?