Kwanini Wanawake wenye majina haya yafuatayo huwa ni wazuri / watamu Kitandani?

Haha afu huwezi amini nilikukumbuka ghafla. Nimepita sehemu nikakuta mbaba anamfundisha binti yake baiskeli, kanachekaaaa hako. Aisee nimesmile hadi basi, nikasema angekuwa FisadiKuu muda huu anawahi bar kwanza kusalimia washkaji, akirudi tena ni beeer
hehehehehehe hukuwapiga hata picha ututumie wazee wa bar kutukumbusha majukumu yetu mengine.. Bila shaka huyo baba kapata darasa humu humu tena kwenye ile mada yetu ile..
 
Kama jina lako halijatajwa hapo usikasirike sana ila jibiidishe tu katika kuwa na mbinu za Kitandani ila all in all hayo majina tajwa saba ( 7 ) hapo juu ndiyo wanajua kufanya Mapenzi na ni Watundu mno kunako 6 X 6.
Kwahyo wanaosema mapenzi yako tanga ni waongo?? Sina uhakika kama hiyo list yako inapatikana sana hukooo mapenzi yalikoanzia
 
Back
Top Bottom