Kwanini wanawake wengine hawajishughulishi kitandani?

Kwanini wanawake wengine hawajishughulishi kitandani?

Ulimpa msosi akashiba? ulimuandaa kiasi gani? au uliingia fasta kama panya anayekimbizwa na paka then akafuma shimo? wew unagegenda ki dizaini au ndo kutwanga kama unatwanga mtama mwekundu ulojaa kwenye kinu? kama vipi mpe hela uone atavyozungusha kama windvane
 
Uliwaona wapi hao wazungusha feni kama wewe siyo kipanga?
Na huyo asiyezungusha alikufahamu akaamua kukukomesha
ili urudi utulie na huyo mzungushafeni wako.
 
JOMAKIBU

Labda hujamkuna penyewe maana ukigusa sehemu husika lazima aonyeshe ushirikiano. Uwe unamuuliza au kama anajisikia isije kuwa anafanya msaada wa kukusaidia wewe ufikie lengo then basi. Au mpe gazeti awe anasoma huku wewe umishughulika
 
Last edited by a moderator:
Labda hujamkuna penyewe maana ukigusa sehemu husika lazima aonyeshe ushirikiano. Uwe unamuuliza au kama anajisikia isije kuwa anafanya msaada wa kukusaidia wewe ufikie lengo then basi. Au mpe gazeti awe anasoma huku wewe umishughulika

Mpaka Nilitaman Kumchapa Makofi!
 
Kiuno kuwa feni sio issue ingawaje wengi wanapendelea. Lakini jeeee hiyo gia ya kuzungusha uliiwezrsha au unajua kitazunguka tu automatically?? USE UR BRAINS. KWA NN HUKUMUULIZA IN THE FIRST PLACE. MIANAUME YA HIVI INAKAA KIMYA INATEGESHEA KIUNO KKIZUNGUKE CHENYEWE NI NOMA HAMNA KITU
 
jamani !!!!!!! tusteh makabila yetu......kila binadamu anakasoro zake binafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom