Mm nadhani kinachowa-cost wanawake warembo walio wengi ni pride iliopitiliza, like aagh james akiniacha si peter atanchukua DON'T GET ME WRONG little pride a.k.a self-respect ni muhimu kwa kila mtu ila sasa ikizidi hapo ndo tatizo linapokuja.
Na wengi wanaoongoza kujibu sms fupi za neno moja 'k', 'eh' etc ni hawa so called beautiful women (ingawa sio wote). Mtu anajifanya yuko bize kuliko ubize wenyewe, as if hana mda wa kukuandikia full words..(kujiona celeb). Anaona labda akikuandikia sms ndefu atakupa shout out saaana hata kama kavutiwa na wewe. Ukiwa na interest ya kuongea nae anahis labda unamtaka kimapenzi
Speaking from experience, mm huwa i just stay away from those types of chicks..
talentbrain