Genio the great
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 161
- 495
Hellow Wana jamii, Leo nimekaa nimetafakari Kuna jambo limenikosesha majibu ya moja Kwa moja nimeona nililete kwenu
Hivi ni kwanini wanawake ni ngumu sana kulea watoto ambao hawakumzaa wo?????
mfano umeoa mwanamke wakati huo tayari wewe una mtoto mwingine hata kama ulikuwa umempa taarifa kwamba Nina mtoto yaani malezi ambayo atakuwa ana mtreat mtoto ni mabaya sana
Yaani katika wanawake 10 ukimkuta anayeishi na mtoto wa mume ambaye sio wakwake Kwa amani ni 1 tena hata huyo mmoja anaweza akawa anaigiza hasa kipindi ambacho baba wa mtoto atakuwepo
Lakini ni jambo la kawaida sana Kwa mwanaume kuoa mwanamke mwenye mtoto tayar na akaishi na mtoto yule akimlea kma mtoto wake wa kumzaa Kwa kumpatia mahitaji muhimu na ni ngumu kumkuta anamnyanyasa.
Na huku uswahili ndio Kuna sentensi kabisa wanasindikizia inayosema
"UKIPENDA BOGA PENDA NA UA LAKE."
Hebu kama unafahamu chochote kuhusu huu utamaduni sema neno ikiwezekana jamii zetu zipone maana ni ugonjwa unaoua ndoto za baadhi ya watoto kisa tu wanaishi na wamama walezi.
Mama Yuko tayari mtoto wakwake akasome au aangalie hata Tv lakini yule wa mume wake aoshe vyombo n.k
Hivi ni kwanini wanawake ni ngumu sana kulea watoto ambao hawakumzaa wo?????
mfano umeoa mwanamke wakati huo tayari wewe una mtoto mwingine hata kama ulikuwa umempa taarifa kwamba Nina mtoto yaani malezi ambayo atakuwa ana mtreat mtoto ni mabaya sana
Yaani katika wanawake 10 ukimkuta anayeishi na mtoto wa mume ambaye sio wakwake Kwa amani ni 1 tena hata huyo mmoja anaweza akawa anaigiza hasa kipindi ambacho baba wa mtoto atakuwepo
Lakini ni jambo la kawaida sana Kwa mwanaume kuoa mwanamke mwenye mtoto tayar na akaishi na mtoto yule akimlea kma mtoto wake wa kumzaa Kwa kumpatia mahitaji muhimu na ni ngumu kumkuta anamnyanyasa.
Na huku uswahili ndio Kuna sentensi kabisa wanasindikizia inayosema
"UKIPENDA BOGA PENDA NA UA LAKE."
Hebu kama unafahamu chochote kuhusu huu utamaduni sema neno ikiwezekana jamii zetu zipone maana ni ugonjwa unaoua ndoto za baadhi ya watoto kisa tu wanaishi na wamama walezi.
Mama Yuko tayari mtoto wakwake akasome au aangalie hata Tv lakini yule wa mume wake aoshe vyombo n.k