Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,251
- 40,268
- Thread starter
-
- #21
Tunajua fake id inakusitiri, hakuna mjinga wa kumchota akili kirahisi rahisi tu.Labda wa huko Dar es Salaam. Huku Tanga wanawake wazuri wote tunahesabu ndoa za nne sasa…
Hakuna popote nilipowatusi hao uliowatajaMbona kama unamtusi mama yako na ndugu zako walioolewa na mke wako mtarajiwa?
Ukubali ama ukatae lakini huo ndiyo ukweli wa asili ya maumbile.Iyo misemo ya wababaishaji tu. Mwanamke mzuri anajulikana na mbaya anajulikana.
Aliekuambia wanaolewa ni nani au wewe na mashoga wenzako hamjui tofauti ya pisi kali na sura za baba.Aliyekwambia hawaolewi nani?au mkiwa huko vijiweni na WAJINGA wenzio ndo mnajipa matumaini kwamba wanawake wazuri hawaolewi?
Umesema wanawake wanaoolewa ni wabaya mkuu, umewatusi kimafumbo.Hakuna popote nilipowatusi hao uliowataja
Ewaa!Unaweza tofautisha haya mambo
Attraction versus impression
Kuna wanawake wanavutia Ila hawana mvuto.
😀😀😀😀 kwenye ule wimbo wanawake wazuri walimaanisha wanawake wenye maadili na tabia nzuri na manung'ayembe ni wenye tabia za umalaya na viburi.Kuna like ngoma lilibamba sana,
Wanawake wazuri wameolewa!!!!
Yamebaki manunga embe yanaangaika, ndundundu!!!!😅😅
Game limechange, manunga embe yameanza kuolewa ,kweli Dunia duara
Ata wewe chibonge nyanya upo kwenye kundi la wazuri a.k.a warembo ?Hakuna lolote mnatuogopa tu
Mnahisi tuna deserve better
Magnetism ndo Ina play role kubwa kuamua MTU awe na nani karibu.Ewaa!
Na kwenye mvuto haiagaliwi sura.
Hapa unachanganya mambo tu mkuu, mzuri anaonekana na sura ya baba inaonekana, lakini naheshimu mtazamo wako mkuu.Ukubali ama ukatae lakini huo ndiyo ukweli wa asili ya maumbile.
Siyo kila mwanamke utakayempenda wewe nami nimuone almasi.
Au chaguo langu nawe liwe ndiyo chaguo lako.
Nimekuelewa aina ya wanawake unaowaongelea.
Hizi hadithi za 'mzuri' ziliwapumbaza hadi wakawa wasimbe, kwa sababu kiuhalisia hawana uzuri ambao kila mtu anautaka.
😅😅😅😅Na ss tusio na pesa tunakuja kujilia kimasihara baada ya wao kuchoshwa na wenye pesa Kisha kuwatelekeza kusikojulikanaa ..........Wanaliwa Sana na wenye Pesa na madingi, mtu anapotaka kufikiria kumwoa anasikia Fulani kapita, Fulani kapita ana kunja mkia
😀 😀 😀 😀 mkuu mashine ipi sasaUzuri wa mwanamke mashine
Magari mazuri (kimuonekano) yote yanaongoza kwa kuwa na gharama kubwa (yanatumia sana mafuta, spare zake ni gharama, kuna muda likiharibika halitengenezeki, mabovu hayadumu)Kuna sababu kubwa sana yenye nguvu ya kwanini wanawake wazuri kimuonekano hawaolewi.
Nimeona na kusikia sana kuanzia mtandaoni mpaka mtaani watu wakishangaa mwanamke fulani ni mzuri lakini haolewi.
Wanaume wote waliopita hapo na wakakimbia sio wajinga kama watu wanavyofikiria.
Wameuona moto, wamekiona kifo, wamemuona lusifa mwenyewe, wamekunywa sana azuma, wameona dalili zote za kuishia kuwa masikini wakabwaga manyanga kwa usalama wa afya, akili na uchumi wao.
Most beautful women that attracts a lot of men have strong character issues, they have bad attitude that in the course of time you as a man dating or marrying her will be a victim of her venom.
Uzuri wake usikuzibe macho ya kuona ukweli, ukiona red flag yoyote kanuni ni ile ile, HIT AND RUN
Ndoa za nne ukimaanisha unaolewa na kuachwa au?.Labda wa huko Dar es Salaam. Huku Tanga wanawake wazuri wote tunahesabu ndoa za nne sasa…