Kwanini wanawake wanawahi kusahau shida

Kwanini wanawake wanawahi kusahau shida

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Unamkuta binti kijijini kachoka, kapigika hata mafuta ya kujipaka hana anavaa kandambili za kuunga lakini kwa kumuangalia tu ana sura nzuri japo haina matunzo.

Ukioa ukaja nae mjini ukamfungulia kamradi akaanza kupata hela anasahau shida zote za kijijini na kuanza dharau kwa mmewe.
 
Mijanamke ndivyo ilivyo....haina akili hata chembe...akili zao zinafanana na za mbuzi....ingawaje mbuzi kawazidi kidogo..
 
Sio kujisahaulisha, wanawake hawajielewi ndo mana wanaolewa waingozwe. Hawana msimamo pia.
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
 
Tuna msimamo sana sema tu tumeumbiwa kusahau na huruma ndo zinatuponzaga kabisa na ku tu cost unaweza ukawa umeshaamua may be something hurudii tena lakini unashangaa mwenyewe unarudisha moyo
 
Mbona watu wakifa tunawasahau na maumivu yanapungua seuse shidaaa
 
Hata mm na utaalamu wangu wote huwa inanishangaza sana..hasa hii tabia ya kukosa msimamo..
 
Mijanamke ndivyo ilivyo....haina akili hata chembe...akili zao zinafanana na za mbuzi....ingawaje mbuzi kawazidi kidogo..

Ushndwe.....mbna the same kwa wanaume kutotulia ktk ndoa zao!!! Ngoma draw
 
Mwanamke kaumbiwa udhaifu.

Udhaifu wenyewe ndo huo mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom