5.Gauni la harusi:
Mwanamke huvaa gauni lake la harusi mara moja tu katika uhaiwake wakati wanaume wanaweza kuendelea kuvaa suti zao za harusi wakati wowoteule wapendao. Kwa hiyo kwa wanawake jambo hilo la kuvaa gauni la harusi ndiyondoto yao na ndiyo maana wengi huzifukuzia ndoa na wanapobahatika huwa nafuraha isiyo kifani.
kabisa, sina shaka huwa na declare interst zangu zote mapema Honey Faith....Bora umekua mkweli kuwa mshahara wangu unaujua na majukumu tunasaidiana kabanga
very interesting wandugu ndoandoano ndiyo kwa maana cheti kinasainiwa kabla wanandoa hawajaanza kuishi pamoja walijuwa mengi yataikumba safari ya ndoa. timiza wajibu wako ndoa haina tatizo ni jambo takatifu ila wanandoa wanachezea fursa za ndoa. ndoa is very powerful kosea yote usikosee kuoa au kuolewa na MTU ambae atakuyesa katika ndoa..kabisa, sina shaka huwa na declare interst zangu zote mapema Honey Faith....
very interesting wandugu ndoandoano ndiyo kwa maana cheti kinasainiwa kabla wanandoa hawajaanza kuishi pamoja walijuwa mengi yataikumba safari ya ndoa. timiza wajibu wako ndoa haina tatizo ni jambo takatifu ila wanandoa wanachezea fursa za ndoa. ndoa is very powerful kosea yote usikosee kuoa au kuolewa na MTU ambae atakuyesa katika ndoa...
I am afraid napoona michepuko inazidi kila kukicha haya na suluhu LA wanandoa kwa muda na sio sustainable huko nje kunahatari zaidi ya huyu unaemuacha ndani. mweshowe unafirisika na magonjwa juu kwa sababu umevunja agano kati yenu na mungu. Wanandoa msidanganyike ndoa haina muamana wakurekebisha ndoa yenu ni nyie wenyewe. man timiza wajibu nawe make mtii,mpende,mjali mumeo MPE chakula apate nguvu za kwenda kufanya kazi.
.nimeona wanawake wengi wanakuwa mapolisi kwa waume zao akikosea kidogo maneno furushi na chakula wala huduma yoyote mume hapewi. majaribu yananguvu sana utashangaa mume ataanza kuzitafuta hizo huduma nje na hapo ni balaaaaa fimbo ya musa ikishaua nyoka nje hutaipata tena.mweeeeee
Its just that ,, its every womans' dream,, as it brings a feeling of COMPLETENESS .....
very interesting wandugu ndoandoano ndiyo kwa maana cheti kinasainiwa kabla wanandoa hawajaanza kuishi pamoja walijuwa mengi yataikumba safari ya ndoa. timiza wajibu wako ndoa haina tatizo ni jambo takatifu ila wanandoa wanachezea fursa za ndoa. ndoa is very powerful kosea yote usikosee kuoa au kuolewa na MTU ambae atakuyesa katika ndoa..
.I am afraid napoona michepuko inazidi kila kukicha haya na suluhu LA wanandoa kwa muda na sio sustainable huko nje kunahatari zaidi ya huyu unaemuacha ndani. mweshowe unafirisika na magonjwa juu kwa sababu umevunja agano kati yenu na mungu. Wanandoa msidanganyike ndoa haina muamana wakurekebisha ndoa yenu ni nyie wenyewe.
man timiza wajibu nawe make mtii,mpende,mjali mumeo MPE chakula apate nguvu za kwenda kufanya kazi..nimeona wanawake wengi wanakuwa mapolisi kwa waume zao akikosea kidogo maneno furushi na chakula wala huduma yoyote mume hapewi. majaribu yananguvu sana utashangaa mume ataanza kuzitafuta hizo huduma nje na hapo ni balaaaaa fimbo ya musa ikishaua nyoka nje hutaipata tena.mweeeeee