Kwanini wanawake wanafurahi sana wakifunga ndoa?

Kwanini wanawake wanafurahi sana wakifunga ndoa?

Mi naona heshima ndo kikubwa.

Kina dada tukiendekeza njaa tutafika pabaya. Kuingia kwenye ndo uki expect matatizo ya hela yataisha n.Hi big joke.iyo 1 ni ngeni kabisa kwangu aisee.

Lol. Hiyo ya tatu kwangu mimi ndoa haijawahi kuwa ndoto. Its a rite of passage.

Gauni? Seriously??

To conclude hii lazima itakuwa imeandikwa na binti bae bado ana unrealistic expectations A ndoa.

Anasubiri Prince Charming aje riding a white chariot and will elope to a far away land where she will wear a magnificent gown and live happily ever after.

Namba moja ndiyo kila kitu kwa mwanamke tena wengine wana quote hata vifungu vya bible yaani mzigo wote financially anambwagia mwanaume
 
Kwa yeyote mwenye akili timamu...ndoa ni muunganiko wenye kuleta furaha...ni furaha kwa kuwa ni kutaniko linalowafanya wapendanao wawe pamoja katika kipindi chote cha maisha yao....

.ni tukio lenye furaha kwa kuwa tangu apo watakuwa mwili mmoja...ni tukio lenye furaha kwa kuwa tunakuwa na wasaa mzuri wa kuwa karibu na yule tuliyemchagua ndani ya nyoyo zetu.

..ndoa linabaki kuwa tukio lenye kuleta furaha kwa mtu anayejua maana ya ndoa na sababu kuu ya kuingia ndoani ikiwa ni upendo wa dhati....
 
Kuolewa si mchezo maana anakuwa anaona kama zali akikumbuka waliomfunua na kumuacha.
 
He he full kutupia mapics IG & FB wanawake bana

Hahaaaa meonaee,halafu mwanaume sasa hawaweki hata moja,mi nimeona wengi marafiki zangu wameolewa,mwanamke anaweka mapicha kwenye kila mtandao ila kwa upande wa mwanaume haweki hata moja.sa sijui wanaume wanamaanisha nini kutokuweka picha?
 
Hiyo Namba Moja Wanawake Mnadanganyana Sana Ndio Maana Tunasema Wanawake Mwalimu Wao Kipofu
 
Back
Top Bottom