Salus samy vladmir
Member
- Mar 21, 2018
- 35
- 6
Nimekuwa nikitafakari kwanini nyakati hizi mwanamke asiye na inye, wezele, vodo, miuno ya kuzunguka, hawapendi kupata vijana wa kuwakata maji?
Je kwa ile miuno kunanini ambacho ni cha thamani sana kuliko wale wasiyo na makalio (wembamba?)
Kama kuna utamu tofauti, kwanini wale ambao wamebahatika kulala na mabinti wenye miuno wasitusimulie siri ili nasi dada zetu tuwajuze hilo?
Naomba jamani munisaidie ufafanuzi zaidi
Je kwa ile miuno kunanini ambacho ni cha thamani sana kuliko wale wasiyo na makalio (wembamba?)
Kama kuna utamu tofauti, kwanini wale ambao wamebahatika kulala na mabinti wenye miuno wasitusimulie siri ili nasi dada zetu tuwajuze hilo?
Naomba jamani munisaidie ufafanuzi zaidi