Well said Mkuu tatizo kila MTU mjuaji mpaka wanaojua wanakaa kimya kuwaskiliza hao wanaojifanya wajuajiWatanzania wenzangu tuwe na mipaka,mbali ya Uhuru tulio nao.Tuheshimu na kuwa na staha na vyombo nyeti kama TISS.Bora tuhangaike na wanasiasa wanaopita.Hawa wanatoa muda ,utu na maisha yao kwa maslahi mapana ya Taifa.
Ndio hapo sasa, kama hawatumiwi na ccm. How come wanahishiriki wizi wa kura.Huyu naona ajaribu uandishi wake,kama atapokelewa vyema,mjinga sana,Tiss anafikiri ni chama cha siasa
Watanzania wenzangu tuwe na mipaka,mbali ya Uhuru tulio nao.Tuheshimu na kuwa na staha na vyombo nyeti kama TISS.Bora tuhangaike na wanasiasa wanaopita.Hawa wanatoa muda ,utu na maisha yao kwa maslahi mapana ya Taifa.
Nyie watu mnajifanya mnajua kufuatilia utendaji wa TISS mna shida sana
Ungejua muundo,kazi na malengo ya Tiss usingefungua thread maharage hapa.
Tiss bado ni chombo makini na madhubuti kabisa na ndio maana unalala na mkeo,unashiba mpaka unapata uwezo wa kuja kuishambulia hapa.
Hawa watu wakiamua kuacha kufanya kazi zao siku moja tu,hapatakalika