Kwa hapa BONGO , Wanasamehee 'Endapo' anakutegemea , ila ukute mwanamke anakipato chake vzuri, anajiamin, mamaeee Utabweka kama mbwaaa na bado atasepa.
Lkn pia anaweza akawa anakipato ila akahofia Utamu unaoumpa ataupata wapi? Nakwasababu wanaishi kwa hisia ,ataanza kujiaminisha kua Mwanaamke ndo kajirahisisha kwako.
Lkn pia Bila kujalisha uchumi , anaweza kukusamehe sababu nayeye Anatombwa nje ila hujui .
Lkn pia anaweza samehe lkn asisahau nahii ikamfanya nayeye kwanza atombwee nje ndo asahau.
Nihitimishe ivi, mwanaume anachepuka sababu ya kutaman kitu kimoja kimoja kwa wanawake tofauti yaaan huyu utapenda Pua, yule mdomo, yule mapaja, yule miguu, n.k....LAKINI mwanamke anataman vitu vingi kwa mwanaume mmoja yaan awe na Kazi, elimu, umbo lakiume ,sura ,kujiamin, romantic , pesa n.k ...... SASA ikitokea wee mwanaume una hivi vyote, basi hata kama atakufuma Atakusamehe na hatolipiza kisasi......
Bi Hilary Clinton na Mumewe +Mchepuko.... alipoulizwa Bi Hilary , alisema "Mwanaume wangu ni Mzuri sana nahivo wanawake wengi wanajirahisisha kwake".