Kwanini wanawake hamtaki kuchunwa?

Kwanini wanawake hamtaki kuchunwa?

Wapo wanaochunwa sana ila hawasem siku ukiachwa ndo utaambiwa mpaka kitandani huwez kitu hata kama ulikuwa unamkojoza vizur
 
wameumbwa ivyo hao ata awe na kazi kubwa zaid yko na kipato bado atakuomba hera na utamgharamia kwa asilimia kubwa wachache sana wa tofauti
 
Back
Top Bottom