Kwanini wanawake hamtaki kuchunwa?

Kwanini wanawake hamtaki kuchunwa?

Mkuu hata vitabu vya dini vinasema mwanaume atakula kwa jasho lake na mwanamke atazaa kwa uchungu. Sasa wewe naona unataka uchukue nafasi ya mwanamke?Fanya kazi uhonge acha kulialia. Wanaume wanaohongwa ni wale washoga ila mwanaume rijali anatafuta na hategemei kuhongwa.
Hahahaha... Du,hii ilimu tosha Kwa huyu kijana ambaye ni kama mjukuu wangu
 
Habari wanajamvi?

Wanaume wamekuwa wepesi sana kutoa wakiombwa na wanawake, kuna ambao hutoa pesa, magari nyumba nk, kwa kadiri ya uwezo wa mtoaji. Ila wanawake wao wako tofauti sana, ukimuomba mwanamke hela au chochote kile tofauti na uroda ni ngumu sana kukupa. Sasa sijui hawa wanawake wana roho mbaya, wabahili au wachumi?

Kinachonisikitisha zaidi sisi wanaume ambao tunatoa bila kinyongo tunapewa majina mabaya, mfano KIBUZI, ATM, mgodi nk, hili jina la kibuzi linaniuzi sana mi na madevu yangu halafu uniite kibuzi, kwanza kibuzi kinaweza kuwa cha kike. Mi naona bora hata mtuite beberu lina hadhi kidogo sio kibuzi. Ikitoka mwanamke amekupa elf 10 basi jiandae baada ya siku tatu kuomwbwa laki 1.

Nyinyi wanawake kwanini hampendi na sisi tuwachune?
Me mwanaume akionesha dalili ya kutaka pesa yangu mapema nabwaga manyanga
 
1784858cb6d80470071ee3ba1c8732ce.jpg
 
Habari wanajamvi?

Wanaume wamekuwa wepesi sana kutoa wakiombwa na wanawake, kuna ambao hutoa pesa, magari nyumba nk, kwa kadiri ya uwezo wa mtoaji. Ila wanawake wao wako tofauti sana, ukimuomba mwanamke hela au chochote kile tofauti na uroda ni ngumu sana kukupa. Sasa sijui hawa wanawake wana roho mbaya, wabahili au wachumi?

Kinachonisikitisha zaidi sisi wanaume ambao tunatoa bila kinyongo tunapewa majina mabaya, mfano KIBUZI, ATM, mgodi nk, hili jina la kibuzi linaniuzi sana mi na madevu yangu halafu uniite kibuzi, kwanza kibuzi kinaweza kuwa cha kike. Mi naona bora hata mtuite beberu lina hadhi kidogo sio kibuzi. Ikitoka mwanamke amekupa elf 10 basi jiandae baada ya siku tatu kuomwbwa laki 1.

Nyinyi wanawake kwanini hampendi na sisi tuwachune?
d5e0b25673c928835295b32e2b0caec3.jpg
 
Habari wanajamvi?

Wanaume wamekuwa wepesi sana kutoa wakiombwa na wanawake, kuna ambao hutoa pesa, magari nyumba nk, kwa kadiri ya uwezo wa mtoaji. Ila wanawake wao wako tofauti sana, ukimuomba mwanamke hela au chochote kile tofauti na uroda ni ngumu sana kukupa. Sasa sijui hawa wanawake wana roho mbaya, wabahili au wachumi?

Kinachonisikitisha zaidi sisi wanaume ambao tunatoa bila kinyongo tunapewa majina mabaya, mfano KIBUZI, ATM, mgodi nk, hili jina la kibuzi linaniuzi sana mi na madevu yangu halafu uniite kibuzi, kwanza kibuzi kinaweza kuwa cha kike. Mi naona bora hata mtuite beberu lina hadhi kidogo sio kibuzi. Ikitoka mwanamke amekupa elf 10 basi jiandae baada ya siku tatu kuomwbwa laki 1.

Nyinyi wanawake kwanini hampendi na sisi tuwachune?
Duhhh..... Kazi ipo....!!!
 
Habari wanajamvi?

Wanaume wamekuwa wepesi sana kutoa wakiombwa na wanawake, kuna ambao hutoa pesa, magari nyumba nk, kwa kadiri ya uwezo wa mtoaji. Ila wanawake wao wako tofauti sana, ukimuomba mwanamke hela au chochote kile tofauti na uroda ni ngumu sana kukupa. Sasa sijui hawa wanawake wana roho mbaya, wabahili au wachumi?

Kinachonisikitisha zaidi sisi wanaume ambao tunatoa bila kinyongo tunapewa majina mabaya, mfano KIBUZI, ATM, mgodi nk, hili jina la kibuzi linaniuzi sana mi na madevu yangu halafu uniite kibuzi, kwanza kibuzi kinaweza kuwa cha kike. Mi naona bora hata mtuite beberu lina hadhi kidogo sio kibuzi. Ikitoka mwanamke amekupa elf 10 basi jiandae baada ya siku tatu kuomwbwa laki 1.

Nyinyi wanawake kwanini hampendi na sisi tuwachune?
Mkuu mie natoa kwa wangu nampa bila ila nijue anaenda kufanyia nini sio nitoe kumbe anakwenda kuhonga,anipe valid reason yakutaka pesa ndio ntatoa
 
Jaman wanaume wasshv mnatia aibu k upewe nahela tena kila Mara nawashaur kutumia enjucl ili msihonge mbona jambo dogo sana
 
Jaman wanaume wasshv mnatia aibu k upewe nahela tena kila Mara nawashaur kutumia enjucl ili msihonge mbona jambo dogo sana
Si una appreciate kazi niliyoifanyia K
 
Back
Top Bottom