Kwanini wanawake hamtaki kuchunwa?

Kwanini wanawake hamtaki kuchunwa?

Habari wanajamvi?

Wanaume wamekuwa wepesi sana kutoa wakiombwa na wanawake, kuna ambao hutoa pesa, magari nyumba nk, kwa kadiri ya uwezo wa mtoaji. Ila wanawake wao wako tofauti sana, ukimuomba mwanamke hela au chochote kile tofauti na uroda ni ngumu sana kukupa. Sasa sijui hawa wanawake wana roho mbaya, wabahili au wachumi?

Kinachonisikitisha zaidi sisi wanaume ambao tunatoa bila kinyongo tunapewa majina mabaya, mfano KIBUZI, ATM, mgodi nk, hili jina la kibuzi linaniuzi sana mi na madevu yangu halafu uniite kibuzi, kwanza kibuzi kinaweza kuwa cha kike. Mi naona bora hata mtuite beberu lina hadhi kidogo sio kibuzi. Ikitoka mwanamke amekupa elf 10 basi jiandae baada ya siku tatu kuomwbwa laki 1.

Nyinyi wanawake kwanini hampendi na sisi tuwachune?
 

Attachments

  • IMG_20161204_060943.jpg
    IMG_20161204_060943.jpg
    69.8 KB · Views: 31
**Maumivu,machungu,hasira,huzuni anayoipata mwanaume anaehonga na mwanamke anaehonga ni sawasawa baada ya kumpoteza mpenzi wake.
*Mara nyingi huwezi kuumia katika mapenzi mnapoachana na mpenzi wako ikiwa hujagharamia (pesa, vyombo, vocha, muda wako)

-- Mwanamke akikupa hela yake, hata kama ni 1,000 tu ya vocha au labda katika emergency alikulipia kitu baada ya kupungukiwa..ni gumzo mpaka hakuna raha tena, atajisifia mpk majirani watajua na ikitokea mmeachana atakutia aibu tu maana kila atakaemuelezea historia/mpenzi wake mpya basi hataacha kukusemea
 
Mkuu hata vitabu vya dini vinasema mwanaume atakula kwa jasho lake na mwanamke atazaa kwa uchungu. Sasa wewe naona unataka uchukue nafasi ya mwanamke?Fanya kazi uhonge acha kulialia. Wanaume wanaohongwa ni wale washoga ila mwanaume rijali anatafuta na hategemei kuhongwa.
kama mwanamke TASA
 
Acha tuwaonge wanawake tu maana papuchi wanazigharamia sana; kuna hela ya pedi, sindano ya kutuliza maumivu ya tumbo, dawa ya kutibu fangasi mapajani, vidonge vya kuua bacteria ukeni, mafuta ya kulainisha 0713 kama ni mtumiaji, vipodozi vya kulainisha ngozi hakuna anayependa kukutana na demu aliyekomaa na kukakamaa, dawa ya kurudisha mnato kama k imelegea na bado vijana mnapenda chura dawa za mchina zinaanzia laki kwenda mbele, sijasahau nyonyo hakuna anayependa akutane na mtoto halafu chuchu zimelegea kama soksi kuna dawa za kuboost mnajua gharama zake. Mkinyonya mate ule utamu mnaousikia hadi hamtaki kutoa midomo yenu ujue ni hela ile kuna dawa za kutunza kinywa. Hayo yote mwanamke anayafanya kwa ajili yako halafu bado unataka akuhonge!??? Shauri yako mademu wazuri utaendelea kuwaita shemeji
 
Habari wanajamvi?

Wanaume wamekuwa wepesi sana kutoa wakiombwa na wanawake, kuna ambao hutoa pesa, magari nyumba nk, kwa kadiri ya uwezo wa mtoaji. Ila wanawake wao wako tofauti sana, ukimuomba mwanamke hela au chochote kile tofauti na uroda ni ngumu sana kukupa. Sasa sijui hawa wanawake wana roho mbaya, wabahili au wachumi?

Kinachonisikitisha zaidi sisi wanaume ambao tunatoa bila kinyongo tunapewa majina mabaya, mfano KIBUZI, ATM, mgodi nk, hili jina la kibuzi linaniuzi sana mi na madevu yangu halafu uniite kibuzi, kwanza kibuzi kinaweza kuwa cha kike. Mi naona bora hata mtuite beberu lina hadhi kidogo sio kibuzi. Ikitoka mwanamke amekupa elf 10 basi jiandae baada ya siku tatu kuomwbwa laki 1.

Nyinyi wanawake kwanini hampendi na sisi tuwachune?
Kama wataka Nawe uwe mchunaji kunywa maji mengi
 
Mwanaume ukiombwa hela,shukuru,hapo unapewa nafasi ya kumfanya chochote kile ambacho unaona wewe kinafaa,tena ukiwa sio mstaarabu,unamla hadi tigo.Huu ulemavu wa baadhi ya wanawake kutaka kuhongwahongwa kunafanya baadhi ya wadada wafanywe vile inavyoonekana inafaa na wahongaji.Acha wahongwe,wengine wanavyofanyiwa sisi wanaume tusingekubali.
 
Back
Top Bottom